Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Untumia OS ipi?nmeinstall hadi imemaliza niki ifungua ina pop up inakata si ioni popote yani
Hata mm ilikuwa inasumbua mpka sasaNaenda wiki sasa Mtandao wa Telegram haufanyi kazi kwangu siingii siwezi kufanya chochote una load tu kama vile sina internet.
nimejaribu simu,computer tofauti ila inakataaa,je Hii ni kwangu tu au na wenzangu pia?
Mnaotumia hamjaona hili kwenu? Kuna namna naweza fanya nitumie?
msaada kwa mwenye free VPN kwa computer nione labda nitaweza nikibadilisha location.
hivi kumbeFor Education purpose only.
Washa VPN uhame nchi kidogo.
yapi hayohivi kumbe
kuna day na sachi mambo yangu yale nikayakosa 🥹🥹🥹
kama VPN hajui kuutafta izo proxy za tele ndo ataweza?Tumia proxy za telegram.
Itafanya kazi fresh bila hayo ma vpn
bado inasumbua?Window 11 Pro
Zinatumikaje mkuuTumia proxy za telegram.
Itafanya kazi fresh bila hayo ma vpn
Zinatumikaje mkuu
Hapa unazitumuahe hiziTumia proxy itakusaidia, achana na vpn View attachment 3102683
Fuatilia huu uzi utapata jibuNaenda wiki sasa Mtandao wa Telegram haufanyi kazi kwangu siingii siwezi kufanya chochote una load tu kama vile sina internet.
nimejaribu simu,computer tofauti ila inakataaa,je Hii ni kwangu tu au na wenzangu pia?
Mnaotumia hamjaona hili kwenu? Kuna namna naweza fanya nitumie?
msaada kwa mwenye free VPN kwa computer nione labda nitaweza nikibadilisha location.
Nielekeze zaid mkuu kwa PCTumia proxy itakusaidia, achana na vpn View attachment 3102683