Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani kaka yangu unazeeka na bangi zako๐๐๐Telegram na Fax zilitoweka miaka mingi sana tulipokua tunaenda kutuma barua za haraka TTCL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kaka yangu unazeeka na bangi zako๐๐๐Telegram na Fax zilitoweka miaka mingi sana tulipokua tunaenda kutuma barua za haraka TTCL.
Kumbe!!Mtandao wake unatumiwa na Wabaguzi wa Rangi Antisemitism na Islamophobia,na juzi juzi amechangia kwenye vurugu za kibaguzi huko UK.
Skuizi ndio natumia kama mboga dada..๐Yaani kaka yangu unazeeka na bangi zako๐๐๐
Kwanini wengine hatuipatiKwangu iko vizuri natumia bila VPN na natambaa nayo km kawaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo langu najiuliza ni nini kilimpeleka France?? Na alitarajia kuwa hawatamuona?Sahihi. Pia, licha ya awali kuikimbia Urusi nchi yake ya asili; bado baadaye alihusishwa na 'uzalendo' kuwa karibu na Russia na wanahisi alikutana na Putin alipokuwa ziarani Azerbaijan wiki iliyopita.๐๐๐
Kiasili ni mzaliwa wa Urusi. Akawa na uraia pacha! Urusi alikimbia baada ya kuambiwa asaidie baadhi ya taarifa. Alielekea France. Hapa kati ni kama akili za kizalendo zilimrudia.Tatizo langu najiuliza ni nini kilimpeleka France?? Na alitarajia kuwa hawatamuona?
Kwani hakujua kuwa anatafutwa na hao EU/ NATO allies?Kiasili ni mzaliwa wa Urusi. Akawa na uraia pacha! Urusi alikimbia baada ya kuambiwa asaidie baadhi ya taarifa. Alielekea France. Hapa kati ni kama akili za kizalendo zilimrudia.
Akaenda Azerbaijan ambako Putin alikuwepo...unganisha dot hali ya hivi sasa! ๐๐๐
Kwani hakujua kuwa anatafutwa na hao EU/ NATO allies?
Dimitry Medvedev alimwambia, "Umepiga hesabu vibaya ukidhani huko ni salama..." ๐๐๐Kwani hakujua kuwa anatafutwa na hao EU/ NATO allies?
Ninini alifuata France after all??Dimitry Medvedev alimwambia, "Umepiga hesabu vibaya ukidhani huko ni salama..." ๐๐๐
Huyo ana uraia wa Urusi wa kuzaliwa, mwingne uraia wa UAE na ana passport ya France. ๐๐๐Ninini alifuata France after all??
Jana nzima ilikuwa iko down mpaka leo kwenye saa 8 ndiyo nikaona imeachia.hadi leo telegram ni kimeo TZ, duh