Telegram sasa itaanza kutoa taarifa za watumiaji wake kwa serikali kwa madai halali

Telegram sasa itaanza kutoa taarifa za watumiaji wake kwa serikali kwa madai halali

Sasa hivi serikali inaweza kutunga kesi ya uongo kwamba wanakuchunguza ili wapate access ya details zako telegram.

Sasa hivi mtandao pekee naouamini ni Twitter ya Elon Musk. Yeye alishasema wazi kwamba maombi ya kidwanzi hakubaliani nayo na maombi yoyote kuhusu mtumiaji lazima mtumiaji atajulishwa kama taarifa zake zimeombwa na zimeombwa na nani na kwa sababu gani.

Elon amesema hata wakimuwekea bunduki kichwani hawezi kutoa taarifa za mtumiaji isipokua kwa mujibu wa sheria na lazima mtumiaji ajulishwe taarifa zake zimeombwa na mamlaka flani.

Wakuu kama unataka privacy, hamia X.
Hata na Maxence Melo alisema hata wamuwekee bunduki kichwani haweza kuweka wazi IP adress pamoja na e mails za wateja wake
 
Dah, sasa wale wadau wa kina Aisha Kishuzi kwenye group la nye nje nje si wanaweza kutwa wanaitwa central kwa kosa la kununua nyapu.

Unakuta afande ana chat history yako yote ulivyokuw unaomba punguzo la tigo.
Serikali yetu haihangaiki na hao, wahanga watakua ni wakosoaji wa Serikali.
 
Sasa hivi serikali inaweza kutunga kesi ya uongo kwamba wanakuchunguza ili wapate access ya details zako telegram.

Sasa hivi mtandao pekee naouamini ni Twitter ya Elon Musk. Yeye alishasema wazi kwamba maombi ya kidwanzi hakubaliani nayo na maombi yoyote kuhusu mtumiaji lazima mtumiaji atajulishwa kama taarifa zake zimeombwa na zimeombwa na nani na kwa sababu gani.

Elon amesema hata wakimuwekea bunduki kichwani hawezi kutoa taarifa za mtumiaji isipokua kwa mujibu wa sheria na lazima mtumiaji ajulishwe taarifa zake zimeombwa na mamlaka flani.

Wakuu kama unataka privacy, hamia X.
Kwenye suala la privacy wazungu wapo mbali hasa US. Wana maudhi yao ila wana mazuri yao, kule hakunaga mambo ya kipuuzi.
 
Back
Top Bottom