Telegram sasa itaanza kutoa taarifa za watumiaji wake kwa serikali kwa madai halali

Hata na Maxence Melo alisema hata wamuwekee bunduki kichwani haweza kuweka wazi IP adress pamoja na e mails za wateja wake
 
Dah, sasa wale wadau wa kina Aisha Kishuzi kwenye group la nye nje nje si wanaweza kutwa wanaitwa central kwa kosa la kununua nyapu.

Unakuta afande ana chat history yako yote ulivyokuw unaomba punguzo la tigo.
Serikali yetu haihangaiki na hao, wahanga watakua ni wakosoaji wa Serikali.
 
Serikali yetu haihangaiki na nyapu, ina hangaika na wapinzani wake na wanaharakati.
Hivi alichokifanya mkuu wa wilaya ya Ubungo hukukuona? Leo hii wanaume wa Daslamu tunahangaika na nyapu na hatujui pa uzipatia. Wanahamia mtandaoni kama hukulifahamu hili
 
Kwenye suala la privacy wazungu wapo mbali hasa US. Wana maudhi yao ila wana mazuri yao, kule hakunaga mambo ya kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…