Telex free imeingi mjini hivi hii ni scum au ni dili

Telex free imeingi mjini hivi hii ni scum au ni dili

Mimi naamini business yoyote inahitaji uwe risk taker...so as long as it pays back mtaji wako na haichukui muda wako mwingi esp kama huna kingine cha kufanya, just go for it..hiyo dola 400 si nyingi kivile ya kufanya watu waogope..by the time hiyo pyramid scheme inacolapsi unaweza kuwa ushatengeneza kamtaji kako ka kufanyia business ingine. So fikiria kivyako zaidi usifate mkumbo....za mwenzio changanya na zako. Mimi binafsi sijawahi kuisikia but nikijua info zaid ntapata wapi ntatake risk.
 
Hyo kitu ni PONZI SCHEME CERTIFIED, mnaojiingiza kichwa kichwa humo mtakuja kujutia vidolari vyenu,
 
Mimi naamini business yoyote inahitaji uwe risk taker...so as long as it pays back mtaji wako na haichukui muda wako mwingi esp kama huna kingine cha kufanya, just go for it..hiyo dola 400 si nyingi kivile ya kufanya watu waogope..by the time hiyo pyramid scheme inacolapsi unaweza kuwa ushatengeneza kamtaji kako ka kufanyia business ingine. So fikiria kivyako zaidi usifate mkumbo....za mwenzio changanya na zako. Mimi binafsi sijawahi kuisikia but nikijua info zaid ntapata wapi ntatake risk.

same thinking like me, hata kama ni ponzi scheme, i got in early and will get out quickly nkisharudisha hela. mdogo wangu aliingia na dola 16500 na ujenzi alisimamisha. hadi sasa imerudi 12000 na bado zile weekly payments
 
Hii ni nzuri hasa hasa kwa wenye access ya Internet mana haihitaji nguvu nyingi kupata dola 20 kwa wiki ni swala zima la kujiwekea ratiba ya kila cku kwa dakika 5, ndani ya miezi 3 mpaka 4 utakuwa usharudisha pesa yako unaanza kula faida..Nadhani ni nzuri kuliko gnld ambayo nilishawahi kuifanya na kuiacha na nyinginezo..Mbali na hivyo itakuongezea hata ujuzi wa kutumia Computer..
 
Ha ha ha ha hii telexfree inawanyima ucngzi sana na mtaugua mnooo bila kupona
 
Ndugu sana jf, mama kama kuna mtu mwenye maeleze ya kutosha name ushahidi kuhusu hii Telexfree na product yao ya Voip ashare basi hapa kama ni kweli ukifanya market ya product zao ukatengeneza online trafficking baada ya kununua pachage zao kuna pesa unapata kila wiki kama inavyodaiwa? Maana naona akina Mc Luvanda wanahamasisha kwa nguvu site asanteni in advance.
 
Ni kama network marketing zingine, I mean foreverliving, oriflame, gnld, na questnet. Na wala sio kama DECI.. Mimi nilishawahi fanya kazi na questnet lakini nilishindwa kwa hiyo nina experience... Hii Yenyewe unanunua software yao ya VoIP ambayo unaiweka kwenye computer na itakuwezesha kupiga simu kwa kutumia pc kwenda kwenye pc au mitandao mingine kama vile kwenye skype kwa gharama nafuu sana. Ila pia ukishainunua iyo software ambayo ndo inauzwa package ya bei ya chini ni USD. 400 .. Sasa ukishaingia kwenye system hiyo unaweza kuwa unatangaza software yao kwa kupost Ads kwenye web yao... Unatakiwa upost mara moja kwa siku ambapo kwa wiki utapata USD 20 lakini kama ukiacha kupost hata kwa siku moja hiyo wiki nzima hutalipwa... Kwa upande mmoja mi naona hawa jamaa ni wazuri kulinganisha na makampuni mengine kama foreverliving ambapo utakuwa unapiga misele barabarani kuuza bidhaa na usipouza hupati. Kitu.. Ila hii unakaa kwenye laptop yako kama dakika 5 then umemaliza.. Ukiuza unapata chako lakini hata kama usipouza na ukawa unapost ile USD 20 iko palepale... Ni hayo tu.

Hiyo USD 20 unapewa mkononi au kimaandishi.?
 
Hii ni nzuri hasa hasa kwa wenye access ya Internet mana haihitaji nguvu nyingi kupata dola 20 kwa wiki ni swala zima la kujiwekea ratiba ya kila cku kwa dakika 5, ndani ya miezi 3 mpaka 4 utakuwa usharudisha pesa yako unaanza kula faida..Nadhani ni nzuri kuliko gnld ambayo nilishawahi kuifanya na kuiacha na nyinginezo..Mbali na hivyo itakuongezea hata ujuzi wa kutumia Computer..

Nataka kufahamu hiyo dola 20 kwa wiki naipataje? Yaani naitaka niishike kabisa, naweza take risk, dola 400 si zaidi ya laki 7 tu.
 
Wapendwa wana JF hivi majuzi kuna watu wamekuwa wakiniuzi hii idea ya TELEX free ambayo imenifanya nijiulize maswali kadhaa ikiwamo je....hii kitu ni ujanja ujanja mwingine wa mjini au.Wataalamu munijuze kidogo.

Nawakilisha

Is this the future for those involved in TelexFree International, especially top leaders and income earners and the principals? Could be! There are striking similarities between Zeek Rewards and TelexFree International! 2 of Zeek Rewards's top corporate people also had accounts as reps-they have been hit with over $11 million USD in fines and penalties by the SEC, and have pled guilty to criminal charges filed by the U.S. Attorney's Office for the Western District of North Carolina that could put them in prison for 5-10 years! OUCH!
If I was a top earner in TelexFree, I don't think I'd be spending any of that money you're making! If the lead prosecutor in Brazil is correct, it's likely the Feds are coming after TelexFree International next! And that will mean "clawbacks" to any rep who made money who happens to live a country that is a signatory to the Hague convention! Yes, the court appointed receiver can come after you, and if you can't or don't return the funds he/she has determined you earned, they can seize your assets!
Just as it wasn't pretty in the Zeek Rewards case, it's likely to be even worse in the case of TelexFree International! Read this article from the SEC website! Some parts of its sound eerily similar to TelexFree International!
SEC.gov | SEC Charges Woman and Stepson for Involvement in ZeekRewards Ponzi and Pyramid Scheme

As a follow up, both have now pled guilty to criminal charges!
Two former ZeekRewards officers plead guilty - Winston-Salem Journal: Business News
 
Back
Top Bottom