carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Mimi naamini business yoyote inahitaji uwe risk taker...so as long as it pays back mtaji wako na haichukui muda wako mwingi esp kama huna kingine cha kufanya, just go for it..hiyo dola 400 si nyingi kivile ya kufanya watu waogope..by the time hiyo pyramid scheme inacolapsi unaweza kuwa ushatengeneza kamtaji kako ka kufanyia business ingine. So fikiria kivyako zaidi usifate mkumbo....za mwenzio changanya na zako. Mimi binafsi sijawahi kuisikia but nikijua info zaid ntapata wapi ntatake risk.