Tembo wamekuwa tishio kwa wananchi, Serikali iwavune kwa Usalama wa Raia

Tembo wamekuwa tishio kwa wananchi, Serikali iwavune kwa Usalama wa Raia

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
JF,

Hii imekuwa kero kwa raia wa nchi hii kutoka mikoa mbali mbali.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti taarifa za tembo kuvamia makazi na mashamba ya watu na kusababisha madhara kwa mali za watu na uhai wao.

Mikoa ya Ruvuma, Tanga na Manyara kero hii ni kubwa mno,, wananchi hawana amani na makazi yao.
Tembo wanavamia, wanakanyaga watu na kufa.

Hii inatokana juhudi za serikali kufanikiwa kudhibiti ujangili na uwindaji haramu wa tembo iliyopelekea tembo kuzaliana kwa wingi kupita kiasi.

Huu ni wakati rasmi sasa serikali iwavune tembo hao ili kubalance uwepo wao huko maporini ili kunusuru maisha ya watanzania.
 
JF,

Hii imekuwa kero kwa raia wa nchi hii kutoka mikoa mbali mbali.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti taarifa za tembo kuvamia makazi na mashamba ya watu na kusababisha madhara kwa mali za watu na uhai wao.

Mikoa ya Ruvuma, Tanga na Manyara kero hii ni kubwa mno,, wananchi hawana amani na makazi yao.
Tembo wanavamia, wanakanyaga watu na kufa.

Hii inatokana juhudi za serikali kufanikiwa kudhibiti ujangili na uwindaji haramu wa tembo iliyopelekea tembo kuzaliana kwa wingi kupita kiasi.

Huu ni wakati rasmi sasa serikali iwavune tembo hao ili kubalance uwepo wao huko maporini ili kunusuru maisha ya watanzania.
Niliskia kuna operation ya kuwawekea cheap ili waweze kuwa monitor. Sijui imeishia wapi hii.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Green Miles wameshapewa kibali cha Kuua, hao baada ya mwaka mmoja itabaki Historia hao Tembo mtakuja kuona picha zao Vitabuni tu. Malkia ameshasema TEMBO hawali Hellium ruksa kuwaua ili malighafi zingine zibebwe kiurahisi.
 
Morogoro wanakwenda mpaka mjini kutembea, kuna viijiji wanakijiji ikifika saa 1 jioni au giza, basi kila mtu ndani mpaka kupambazuke, hawalimi, tembo wanakula kila kitu.

Waruhusu tu nature, predator mkubwa wa tembo ni jangili, simba anamla mara 1 kwa mwaka.

Everyday is Saturday.............................😎
 
siku zote nature inadhibitiwa kinature,vilevile taasisi husika aijatumia udhaifu wa mnyama huyu...kiasi flan ingesaidia kwakua NYUKI na TEMBO ni maji na mafuta.Kwanini wanakijiji wasinge eleweshwa udhaifu wao huo na kuutendea kazi...ambapo vilevile ungekua na faida kwa jamii yao pia..?
 
JF,

Hii imekuwa kero kwa raia wa nchi hii kutoka mikoa mbali mbali.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti taarifa za tembo kuvamia makazi na mashamba ya watu na kusababisha madhara kwa mali za watu na uhai wao.

Mikoa ya Ruvuma, Tanga na Manyara kero hii ni kubwa mno,, wananchi hawana amani na makazi yao.
Tembo wanavamia, wanakanyaga watu na kufa.

Hii inatokana juhudi za serikali kufanikiwa kudhibiti ujangili na uwindaji haramu wa tembo iliyopelekea tembo kuzaliana kwa wingi kupita kiasi.

Huu ni wakati rasmi sasa serikali iwavune tembo hao ili kubalance uwepo wao huko maporini ili kunusuru maisha ya watanzania.
Tatizo idadi ya watu imeongezeka kwahiyo watu ndio wavamizi wa tembo
 
Wananchi ndio tishio kwa Tembo, Tembo pia ni Wenyenchi
KWELI KABISA NILIMSIKIA RAIS WETU AKIONGELEA KUHUSU NGORONGORO YA KWAMBA BINADAMU TUMEWAZIDI WANYAMA NDANI YA CRATER NIKASHANGAA SANA KWANINI WASIPUNGUZWE HUMO ILI KUWEKA UWIANO SAHIHI KATI YA BINADAMU NA WANYAMA SASA BAADHI WANACHOMOKA HUMO NA KUUENDELEZA UDUGU KWENYE MAKAZI YETU.
 
KWELI KABISA NILIMSIKIA RAIS WETU AKIONGELEA KUHUSU NGORONGORO YA KWAMBA BINADAMU TUMEWAZIDI WANYAMA NDANI YA CRATER NIKASHANGAA SANA KWANINI WASIPUNGUZWE HUMO ILI KUWEKA UWIANO SAHIHI KATI YA BINADAMU NA WANYAMA SASA BAADHI WANACHOMOKA HUMO NA KUUENDELEZA UDUGU KWENYE MAKAZI YETU.
Dawa ni kuwahamishia Monduli,hilo Bonde liachiwe Wanyama peke yao
 
JF,

Hii imekuwa kero kwa raia wa nchi hii kutoka mikoa mbali mbali.

Kila siku vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti taarifa za tembo kuvamia makazi na mashamba ya watu na kusababisha madhara kwa mali za watu na uhai wao.

Mikoa ya Ruvuma, Tanga na Manyara kero hii ni kubwa mno,, wananchi hawana amani na makazi yao.
Tembo wanavamia, wanakanyaga watu na kufa.

Hii inatokana juhudi za serikali kufanikiwa kudhibiti ujangili na uwindaji haramu wa tembo iliyopelekea tembo kuzaliana kwa wingi kupita kiasi.

Huu ni wakati rasmi sasa serikali iwavune tembo hao ili kubalance uwepo wao huko maporini ili kunusuru maisha ya watanzania.
Nyama yao ukichanganya na magimbi kadhaa utawahadithia wajukuu kwa ule utamu.unaweka na mboga za jero
 
Maisha ya mwanadamu kwa asili yake ni kupambana na changamoto. Utatuzi wa changamoto moja, huzaa changamoto nyingine. Udhibiti wa ujangili umezaa changamoto hii. Kwa kawaida, asili inayo namna yake ya kujidhibiti. Suluhu sio kuwavuna, bali ni kuanzisha kilimo cha pilipili na ufugaji nyuki. Hapo wakazi watakuwa wametengeneza buffer zone. Tusiwe na ufumbuzi wa kiharibifu.
 
Tembo hao kuwadhibiti ni kuweka mpaka wa fensi kutenganisha hifadhi na makazi ya watu, pia kuwaweka chip ya kuwasoma walipo.

Fensi huwa zinawekwa umeme wakisogelea wanachezea shoti kwisha habari hawatasogea tena makazi ya watu.

Hao tembo wanafuata msosi huko kwenye makazi ya watu. Wanapokuta viazi, ndizi, magimbi, sijui mihogo, kwao wanajisikia furaha na starehe sana kukilimiwa na chakula kitamu ambacho wanakipata kwa urahisi.

Tusiwachukie, hawa ni wanyama, wapo chini ya uratibu wetu na sisi ndio wakuu wao katika familia ya wanyama. Tuwawekee mikakati salama bila kuwadhuru. Na nimefurahi sana tembo wanaongezeka kwa sasa it means jitihada ya kuwalinda imezaa matunda mazuri.
 
Back
Top Bottom