Tembo wamekuwa tishio kwa wananchi, Serikali iwavune kwa Usalama wa Raia

Umenena vyema lakini changamoto ni nyingi, kilimo cha pilipili kinapunguza kwa kiasi kidogo sana hasa wakati pilipili zimekomaa. Tembo mmoja ana uwezo wa kula kilo mia kwa siku bado maji na madini. Idadi yao inavyoongezeka na wenyewe inabidi waende mbali zaidi kutafuta mahitaji muhimu. Maeneo mengi ya uhifadhi yamejitenga kama visiwa hakuna movement ya wanyama pori kutoka sehemu moja hadi nyingine. Ongezeko la makazi kwenye maeneo ya wanyama wildlife corridors, ndio chanzo cha mifarakano kati ya wanyama na watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…