Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mwenyekiti wa Mtaa wa Changanyikeni Kata ya Toangoma katika Wilaya ya Temeke kwa tiketi ya CCM, Suzanne(Dionisia) Kamugisha amekamatwa akidaiwa kuiba Tsh. 12,000,000/-. Mruhumiwa na wanae wawili wsnashikiliwa kituo cha polisi Mbagala.
Inadaiwa juzi, mwanaye aliyeajiriwa katika duka la simu-pesa alikutwa na hasara ya Tsh. Milioni 12 alipohojiwa alimtaja Mama yake (Suzanne) kuchukua fedha hizo kwa ajili ya kampeni uchaguzi wa ndani wa chama
Viongozi wa Kata hiyo (Diwani, Mtendaji wa Kata na Katibu Kata kupitia CCM) tangu asubuhi ya leo wanashughulikia kumtoa rumande bila mafanikio
Aidha, katika hatua nyingine inadaiwa Wananchi wa Mtaa huo wameanza kuhamasishana kupiga kura ya kutokuwa na imani naye kwenye mkutano wa Mtaa
Wananchi na hata makada wa CCM wanasema hawamtaki kabisaa.
Huyu pia anatuhumiwa kukwapua milioni 23 za VICOBA halafu akakingiwa kifua na Uongozi wa Kata asipatwe na mkono wa sheria.
Bahati mbaya hiyo hela aliitumia kuwanunua viongozi wa Tawi na Kata kisha akapitishwa kinguvu.
Makada wa CCM walijiandaa kuupigia kura upinzani ili iwe funzo lakini ikala kwao baada ya mama huyu kupitishwa bila kupingwa.
Inadaiwa juzi, mwanaye aliyeajiriwa katika duka la simu-pesa alikutwa na hasara ya Tsh. Milioni 12 alipohojiwa alimtaja Mama yake (Suzanne) kuchukua fedha hizo kwa ajili ya kampeni uchaguzi wa ndani wa chama
Viongozi wa Kata hiyo (Diwani, Mtendaji wa Kata na Katibu Kata kupitia CCM) tangu asubuhi ya leo wanashughulikia kumtoa rumande bila mafanikio
Aidha, katika hatua nyingine inadaiwa Wananchi wa Mtaa huo wameanza kuhamasishana kupiga kura ya kutokuwa na imani naye kwenye mkutano wa Mtaa
Wananchi na hata makada wa CCM wanasema hawamtaki kabisaa.
Huyu pia anatuhumiwa kukwapua milioni 23 za VICOBA halafu akakingiwa kifua na Uongozi wa Kata asipatwe na mkono wa sheria.
Bahati mbaya hiyo hela aliitumia kuwanunua viongozi wa Tawi na Kata kisha akapitishwa kinguvu.
Makada wa CCM walijiandaa kuupigia kura upinzani ili iwe funzo lakini ikala kwao baada ya mama huyu kupitishwa bila kupingwa.