Uchaguzi 2020 Temeke niko tayari kuwatumikia 2020 - 2025

Uchaguzi 2020 Temeke niko tayari kuwatumikia 2020 - 2025

Nicolas J Clinton Gabone

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
879
Reaction score
491
Nimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.

IMG_20200722_161647_887.jpeg
 
Mgombea wa upinzani akijipanga vizuri jimbo la Temeke na Segerea ni mteremko!

Yani mpinzani akiweza kupanga vizuri hoja za kuhusu wananchi moja kwa moja katika maisha yao ya kila siku hakika atapata wepesi wa kushinda.

Mfano Temeke yule alishawahi kuwa mbunge mara kadhaa je kuna jipya gani aloshindwa kufanya wakati ule ambalo atalifanya Safari hii?
 
Nimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.

View attachment 1513973
Mkuu mimi ni mkazi wa Temeke Mwembe yanga. Mimi na familia yangu wote tumejiandikisha tunauza kura zetu kama vipi tumalizane tigopesa kaabisa
 
Umekosea sana kugombea hicho chama cha Msaliti Mbatia , sema we jipigie tu hela mliyolipwa .
 
Back
Top Bottom