Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
Nimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi ni mkazi wa Temeke Mwembe yanga. Mimi na familia yangu wote tumejiandikisha tunauza kura zetu kama vipi tumalizane tigopesa kaabisaNimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.
View attachment 1513973
KILA LENYE HERINimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.
View attachment 1513973
Kumbe ccm B tulieni muone meko atakavyo watupa,kawaulize waunga juhudi wenzenuNimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.
View attachment 1513973
Kiboko ya CHADEMANimejiandaa kuwania Ubunge jimbo la Temeke Jijini Dar es Salaam, kupitia Chama cha MAGEUZI na Ujenzi wa Taifa. NCCR-Mageuzi.
View attachment 1513973
Hahaha naona unamsifia mtoto wenu wa kamboSafi sana tumia haki yako ya kikatiba kuna chama kimoja cha upinzani huwa hawapendi kuona wenzao wengine wakishine!