A
Anonymous
Guest
Shule ya ,singi Vikunai iliyopo Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam kuna changamoto kubwa Wanafunzi hawana madawati baadhi wanakaa chini.
Shule pia inabebesha wazazi mzigo wa kutoza Tsh 500 ya mtihani kwa madarasa ya mitihani, hiyo tsh 500 mwanafunzi anatakiwa kwenda nayo kila siku, hivyo ni mzigo kwa wananchi wa hali ya chini
Mwanafunzi asipopeleka Tsh 500 anachwapwa jambo ambalo si sahihi, wananchi wanalalamika kwenye mikutano ya Serikali za Mtaa lakini hakuna mabadiliko. Serikali isifumbie macho sUala hili madhara yake ni makubwa .
Shule pia inabebesha wazazi mzigo wa kutoza Tsh 500 ya mtihani kwa madarasa ya mitihani, hiyo tsh 500 mwanafunzi anatakiwa kwenda nayo kila siku, hivyo ni mzigo kwa wananchi wa hali ya chini
Mwanafunzi asipopeleka Tsh 500 anachwapwa jambo ambalo si sahihi, wananchi wanalalamika kwenye mikutano ya Serikali za Mtaa lakini hakuna mabadiliko. Serikali isifumbie macho sUala hili madhara yake ni makubwa .