residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hata huko Mkuranga na Rufiji, watoto wanalipishwa 4000 kwa mwezi kwa ajiki ya mitihani, na ni darasa la 4 na darasa la 7.Umeshathibitisha kuwa kilichosemwa ni ukweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko Mkuranga na Rufiji, watoto wanalipishwa 4000 kwa mwezi kwa ajiki ya mitihani, na ni darasa la 4 na darasa la 7.Umeshathibitisha kuwa kilichosemwa ni ukweli?
itakua ela ya kiwi iyo maana mbuzi anakulaga alipofungwaShule ya msingi Vikunai iliyopo manispaa ya Temeke jijini Dar Salaam kuna changamoto kubwa wanafunzi hawana madawati baadhi wanakaa chini.
Shule pia inabebesha wazazi mzigo wa kutoza Tsh 500 ya mtihani kwa madarasa ya mitihani, hiyo tsh 500 mwanafunzi anatakiwa kwenda nayo kila siku, hivyo ni mzigo kwa wananchi wa hali ya chini
Mwanafunzi asipopeleka tsh 500 anachwapwa jambo ambalo si sahihi, wananchi wanalalamika kwenye mikutano ya Serikali za Mtaa lakini hakuna mabadiliko. Serikali isifumbie macho sUala hili madhara yake ni makubwa .
Sijathibitisha, vipi jamaa anaichafua serikali? Msameheni, ana lengo zuri tu la kuhakikisha mwanao na watoto wa wengine wanapata elimu kwenye mazingira mazuri.Umeshathibitisha kuwa kilichosemwa ni ukweli?
4,000 kwa mwezi si sawa na 500 kwa kila siku kama mwandishi alivyoandika.Hata huko Mkuranga na Rufiji, watoto wanalipishwa 4000 kwa mwezi kwa ajiki ya mitihani, na ni darasa la 4 na darasa la 7.