KERO Temeke: Shule ya Msingi Vikunai, wanafunzi wanakaa chini na kutozwa Tsh 500 kila siku kwa madarasa ya mitihani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Madarasa ya mitihani yamegeuzwa fursa shule za msingi nyingi ........ Hili la kukaa chini ni aibu Sana ni Kama siamini Eti mjini bado watoto wanakosa madawati loh...
 
itakua ela ya kiwi iyo maana mbuzi anakulaga alipofungwa
 
Hata huko Mkuranga na Rufiji, watoto wanalipishwa 4000 kwa mwezi kwa ajiki ya mitihani, na ni darasa la 4 na darasa la 7.
4,000 kwa mwezi si sawa na 500 kwa kila siku kama mwandishi alivyoandika.
Ama nawe unaona hiyo 4,000 kwa mwezi ni kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…