TEMESA kuna kitu mnatafuta Kigamboni na hivi vivuko vyenu yetu macho

TEMESA kuna kitu mnatafuta Kigamboni na hivi vivuko vyenu yetu macho

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Imani yangu ndogo sana na hii TEMESA kwa sasa kuhusu huduma hizi za vivuko Kigamboni ila ngoja twende kuna siku huu Uzi mtakuja kurepost.

Yaani Kigamboni kwa sasa ipo kama yatima fulani vile ila muda ni mwalim ngoja muda utaongea.

MV Kazi ina muda atuioni mpaka sasa tumeisahau, Magogoni mguu nje mguu ndani na Kigamboni nayo ndio kuvuka masaa mpo baharini inaenda Kama haiendi na hiyo ni Dar es Salaam sijui mikoani kuna hali gani.

Uongozi TEMESA ujitathimini kwakweli.
 
May be linaandaliwa kafara,,, kui boost sisiemu..

Hii nchi watu wamejisahau kabisa sasa
 
Imani yangu ndogo sana na hii TEMESA kwa sasa kuhusu huduma hizi za vivuko Kigamboni ila ngoja twende kuna siku huu Uzi mtakuja kurepost.

Yaani Kigamboni kwa sasa ipo kama yatima fulani vile ila muda ni mwalim ngoja muda utaongea.

MV Kazi ina muda atuioni mpaka sasa tumeisahau, Magogoni mguu nje mguu ndani na Kigamboni nayo ndio kuvuka masaa mpo baharini inaenda Kama haiendi na hiyo ni Dar es Salaam sijui mikoani kuna hali gani.

Uongozi TEMESA ujitathimini kwakweli.

Hawa TEMESA hawa magari tu yanawashindaga wataweza mameli kweli!!
 
Muda huu npo navuka hakika hali in mbaya kivuko pekee kinachofanya Nazi in MV kigamboni. Mungu tusaidie
 
Wapiga dili sio watu wazuri wameanza tena kuchezea nchi kwa maslahi yao.
 
TAMESA ni wapigaji tu nilipita ofisi zao za hapa Morogoro ni magofu tu baada kama vipi wabinafsishe tu vinginevyo mtakuja kuzama hapo.

Kwa SAMIA bado halijatokea kubwa
 
Back
Top Bottom