TEMESA wakubaliana na Azam Marine kuvusha abiria Kigamboni (Ferry)

Inashangaza kusikia mambo kama haya. Tena Habari yake yaweza kukusababishia kicheko ukapaliwa na mashudu anayosema msemaji wao " eti tumemkodisha kwa muda" . Hivi kweli hamna mtu wa planning, manyumbu hawajui preventive maintenance!
 
Kipindi cha JK alitusaidia sana huyu bwana kulipa mishahara wafanyakazi wa Serikali baada ya sisi Serikali kuchemsha. Kwa sasa anatusaidia tena kutubebea wananchi baada ya sisi serikali kazi kutushinda.

Mishahara ikitushinda tena kulipa tutamrudishia hili jukumu huyu bwana Bakhresa.
 
Chukua serengeti lite apo Kisuma bar umwagilie moyo nakuja kulipa
 
Deal Done wanasemaga waarabu
 
Natamani aje mtu waserikali akanushe hii comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…