TEMESA yaomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha Mafia mpaka Nyamisati kutokana na safari kusitishwa

TEMESA yaomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha Mafia mpaka Nyamisati kutokana na safari kusitishwa

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Siku ya leo Oktoba 23 2024 Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umeomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha MV Kilindoni kinachotoa huduma kati ya Mafia na Nyamisati kutokana na hitilafu kwenye mfumo wake, ambayo imesababisha kusitishwa kwa huduma.

Soma pia:

Kupita chapisho lao TEMESA imedokeza kuwa marekebisho yanaendelea na huduma inatarajiwa kurejea tarehe 28 Oktoba 2024 ambapo abiria waliolipa nauli kwa safari ya tarehe 22 Oktoba 2024 watarejeshewa malipo yao.

Ujumbe wao uko hapa chini:

photo_5821067037554885139_y.jpg
 
Siku ya leo Oktoba 23 2024 Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umeomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha MV Kilindoni kinachotoa huduma kati ya Mafia na Nyamisati kutokana na hitilafu kwenye mfumo wake, ambayo imesababisha kusitishwa kwa huduma.

Soma pia:

Kupita chapisho lao TEMESA imedokeza kuwa marekebisho yanaendelea na huduma inatarajiwa kurejea tarehe 28 Oktoba 2024 ambapo abiria waliolipa nauli kwa safari ya tarehe 22 Oktoba 2024 watarejeshewa malipo yao.

Ujumbe wao uko hapa chini:

Kuandika Taarifa kama hivi unalipwa?
 
Yaani hapo ndipo uwezo wao wa kufukiri ulipo ngonga mwisho right....🤨
So wananchi waendelee kuteseka kwasababu TEMESA imekosa mbadala wa kuendelea kutoa huduma right...🤔
 
Wameshindwa kutengeneza usafiri wa uhakika kwa miaka yote zaidi ya hiko kivuko kimoja kwa ajili ya "geresha bwege" kikiharibika shida inarudi palepale!
 
Siku ya leo Oktoba 23 2024 Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umeomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha MV Kilindoni kinachotoa huduma kati ya Mafia na Nyamisati kutokana na hitilafu kwenye mfumo wake, ambayo imesababisha kusitishwa kwa huduma.

Soma pia:

Kupita chapisho lao TEMESA imedokeza kuwa marekebisho yanaendelea na huduma inatarajiwa kurejea tarehe 28 Oktoba 2024 ambapo abiria waliolipa nauli kwa safari ya tarehe 22 Oktoba 2024 watarejeshewa malipo yao.

Ujumbe wao uko hapa chini:

Yaani hapo ndipo uwezo wao wa kufukiri ulipo ngonga mwisho right....🤨
So wananchi waendelee kuteseka kwasababu TEMESA imekosa mbadala wa kuendelea kutoa huduma right...🤔
Wameshindwa kutengeneza usafiri wa uhakika kwa miaka yote zaidi ya hiko kivuko kimoja kwa ajili ya "geresha bwege" kikiharibika shida inarudi palepale!
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Mawazo yako tunashabiana,Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana kama sisi "binadamu" weusi ni watu halisi au ni aina fulani ya viumbe vilivyofanana sana na hao binadamu halisi!
 
Back
Top Bottom