Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4,876
Reaction score
1,549
Tanzania Airports Authority (TAA) is a Government Executive Agency established to operate, manage, maintain and develop Government owned airports with a commercially oriented Management style. As of implementing its Organizational Structure, TAA hereby invites applications from suitably qualified, creative and results driven candidates to fill the following vacant posts;

Screenshot 2023-09-01 135614.png
Screenshot 2023-09-01 135632.png
Screenshot 2023-09-01 135647.png
Screenshot 2023-09-01 135712.png
Screenshot 2023-09-01 135736.png
Screenshot 2023-09-01 135752.png
Screenshot 2023-09-01 135808.png
Screenshot 2023-09-01 135824.png
Screenshot 2023-09-01 135839.png
Screenshot 2023-09-01 135857.png
Screenshot 2023-09-01 135917.png
Screenshot 2023-09-01 135933.png
 
Tanzania Airports Authority (TAA) is a Government Executive Agency established to operate, manage, maintain and develop Government owned airports with a commercially oriented Management style. As of implementing its Organizational Structure, TAA hereby invites applications from suitably qualified, creative and results driven candidates to fill the following vacant posts;

Naweka kambi huu Uzi watu wameususa
 
Anayeijua hii TAA naomba anipe maslahi kuna dogo wangu wakaaply hapo kweny operation officer na pia kaniambia ni kwa mda wa mwaka mmoja ...
 
Anayeijua hii TAA naomba anipe maslahi kuna dogo wangu wakaaply hapo kweny operation officer na pia kaniambia ni kwa mda wa mwaka mmoja ...
Ngoja wake wataalam wa hzo mambo maana atuelew mara mfumo umejaa wengine wanaulizia maslahi
 
Ngoja wake wataalam wa hzo mambo maana atuelew mara mfumo umejaa wengine wanaulizia maslahi
Itakuwa poa sana ila kaniambia eti wanafanya kwa mwaka mmoja ila tangazo sijasoma vizuri.
 
Kwa ndege zipi walizo kuwa nazo, kama kuna kitu kina changamoto kusafiri kipindi hiki usafiri wa ndege.

Yaani kucheleweshwa Airport masaa matano ni kawaida. Au kupelekwa hotel mlale ndege itafika usiku ndo muondoke ni kawaida.

Btw hizo kazi ni za watoto wa wakubwa kama huna connection kaa kwa kutulia.
 
Kwa ndege zipi walizo kuwa nazo, kama kuna kitu kina changamoto kusafiri kipindi hiki usafiri wa ndege.

Yaani kucheleweshwa Airport masaa matano ni kawaida. Au kupelekwa hotel mlale ndege itafika usiku ndo muondoke ni kawaida.

Btw hizo kazi ni za watoto wa wakubwa kama huna connection kaa kwa kutulia.
Ndugu unachanganya madesa,hawa hawahusiki na ndege kabisa, wao ni Viwanja.
 
Back
Top Bottom