Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

Temporary Employment Opportunities at Tanzania Airports Authority (TAA)

Kwa ndege zipi walizo kuwa nazo, kama kuna kitu kina changamoto kusafiri kipindi hiki usafiri wa ndege.

Yaani kucheleweshwa Airport masaa matano ni kawaida. Au kupelekwa hotel mlale ndege itafika usiku ndo muondoke ni kawaida.

Btw hizo kazi ni za watoto wa wakubwa kama huna connection kaa kwa kutulia.
Kuna watu sijui huwa ni walevi,hawa hawahusiani na ndege.wanaohusiana na ndege ni ATCL
 
Hizi ni ajira za muda,zinakuwa renewed kila mwaka nadhani,kuhusu maslahi hakuna yanayotosha ila heri upate siku ziende kuliko kukaa kitaa mkavu.
Diploma anachukua 1,040,000 na Degree ni 1,300,000 kwa mwezi.
Hivi salary scale ya TAAS 4 ni shingapi?
 
Back
Top Bottom