Kuna watu sijui huwa ni walevi,hawa hawahusiani na ndege.wanaohusiana na ndege ni ATCLKwa ndege zipi walizo kuwa nazo, kama kuna kitu kina changamoto kusafiri kipindi hiki usafiri wa ndege.
Yaani kucheleweshwa Airport masaa matano ni kawaida. Au kupelekwa hotel mlale ndege itafika usiku ndo muondoke ni kawaida.
Btw hizo kazi ni za watoto wa wakubwa kama huna connection kaa kwa kutulia.
Hivi salary scale ya TAAS 4 ni shingapi?Hizi ni ajira za muda,zinakuwa renewed kila mwaka nadhani,kuhusu maslahi hakuna yanayotosha ila heri upate siku ziende kuliko kukaa kitaa mkavu.
Diploma anachukua 1,040,000 na Degree ni 1,300,000 kwa mwezi.
Mchakato huu sa hv unaenda miez mingap jamaniiwatu hawajaitwa bado?
Wamefanya Kimyakimya, mbona hatukuona wala kusikia kuhusu PDFWashafanya interview juzi
Hzo ni za utumishi sio TAA wenyew zile temporaryJipeni moyo, ila ukweli wale waliofanya USAILI juzi wanakwenda huko huko TAA
Kimya kimya?Watakua watu walishaitwa tayari. Ni muda sana
Hata mimi nashangaa ,kimya mpaka leoHizi ajira za TAA ziliishiaga wapii??
daaaah aisee nchi hii ni hatarii saanaHata mimi nashangaa ,kimya mpaka leo