Ten Commandments

Duh, kumbe kuna raha huku, naona kuna jamaa amenuna, na kukimbia maswali.

Haya wee, yetu macho. Lugha na alphabeti imezidi kuwa ngumu.
 

Hahaahaaaaaaaaa ndio pengine umeona nisipozungumzia alphabet na language umeona ndio nafasi yakukwepa maswali yangu.

alphabet used to represent mazungumzo ( LUGHA). Lugha nayo is a term most commonly used to refer to so called "lugha asilia" the forms of communication considered peculiar to humankind.


Kwa mara ya mwisho ni alphabet ipi ilitumika kurepresent, kwenye lile jiwe aliloandikiwa Musa/Moses/Moshee?

Kama huna jibu naona napoteza muda tu.

Nakuona unakwepa tu maswali yangu
 
Duh, kumbe kuna raha huku, naona kuna jamaa amenuna, na kukimbia maswali.

Haya wee, yetu macho. Lugha na alphabeti imezidi kuwa ngumu.

Na macho yatakutoka LOL.

Swali la nusu mwaka mpaka leo halijajibiwa.
Halafu hapo hapo naambiwa nimfuate anayofuata
 
Hivi mpaka leo hakuna mtu yeyote anayejua ni lugha gani iliandikwa kwenye amri kumi za Mungu?
 


Shame on you. Umeshindwa kujuwa tofauti ya lugha na tarakimu. Alphabet inaweze kuandika lugha yeyote, hapo ndipo unaonyesha udhoofu wa kuelewa mambo. Na lugha yeyote sio lazima iandikwe kwa tarakimu.

Kama ungejuwa tofauti ya lugha na tarakimu, kamwe usinge husisha tarakimu na lugha, inter-alia, lugha na tarakimu. Lugha sio lazima iandikwe kwa tarakimu.

Now define to me language and alphabet.
 
Kwa wageni hapa naomba nipatiwe majibu ya maswali haya.

1.Kama Moses/Musa alipewa amri kumi za mungu na lugha iliyotumika ni hebrew, imekuaje imepishana uhai wake na amri kumi alizopewa.

2. Kama alphabet za Hebrew zilikuja karne na karne baada ya uhai wa moses kuna mtu mwingine alipewa amri kumi za mungu?

3.Moses wa kwenye bible na torat ni huyo huyo mmoja au wawili?

4.Je kuna moses wa kabla ya yesu na wa baada ya yesu aliyepewa amri kumi za mungu?
 
3.Moses wa kwenye bible na torat ni huyo huyo mmoja au wawili?

 
1.Kama Moses/Musa alipewa amri kumi za mungu na lugha iliyotumika ni hebrew, imekuaje imepishana uhai wake na amri kumi alizopewa.

It did not
 
2. Kama alphabet za Hebrew zilikuja karne na karne baada ya uhai wa moses kuna mtu mwingine alipewa amri kumi za mungu?

Which alphabet? Hakuna mtu mwingine, but Moses.
 
4.Je kuna moses wa kabla ya yesu na wa baada ya yesu aliyepewa amri kumi za mungu?

Bogus question. Ten commandment zililetwa kabla ya Yesu Kuzaliwa.
 
Sasa jibu swali langu; Define to me language and alphabet.
 

Usikimbie!!

Uliiandika hii mwenyewe.

Sasa huoni unavyobabaika?


Kumbuka hii
In Genesis 31:47, Laban and Jacob refer a heap of stones in their native speech. Laban uses phrase "Yegar Sahaduta" which is Aramaic, lakini Jacob anatumia "Gal-Ed" ambayo ni Hebrew.



And and and
No, not whilst speaking but that was nor is the point. It's the engraving part where the need for alphabet is. Remember?
 
Usikimbie!!

Uliiandika hii mwenyewe.

Sasa huoni unavyobabaika?


Kumbuka hii




And and and
No, not whilst speaking but that was nor is the point. It's the engraving part where the need for alphabet is. Remember?


Huna ubavu wewe. Nenda kanyonye maziwa kwa mama. lol
 
3.Moses wa kwenye bible na torat ni huyo huyo mmoja au wawili?

Kasoro.

Moses alikua huyo huyo mmoja.

Max anasema
In Genesis 31:47, Laban and Jacob refer a heap of stones in their native speech. Laban uses phrase "Yegar Sahaduta" which is Aramaic, lakini Jacob anatumia "Gal-Ed" ambayo ni Hebrew.

Kasoro imeshajionyesha.
Kama mungu alizitoa hizo amri kwa mtu mmoja hawezi akampa kwa Aramaic na Hebrew
 
1.Kama Moses/Musa alipewa amri kumi za mungu na lugha iliyotumika ni hebrew, imekuaje imepishana uhai wake na amri kumi alizopewa.

It did not

Hata moses/musa/moshee na uhai wake huujui.
kasome tena theology yako inayokuchanganya
 
Kasoro.

Moses alikua huyo huyo mmoja.

Max anasema


Kasoro imeshajionyesha.
Kama mungu alizitoa hizo amri kwa mtu mmoja hawezi akampa kwa Aramaic na Hebrew


I gave simple answers to all of your question. Now dispute if you can.

Jibu swali langu kuhusu

1. Definition ya language na alphabet.
2. Prove to me that God does not exist.

You know what, wewe bado dogo sana.

 
2. Kama alphabet za Hebrew zilikuja karne na karne baada ya uhai wa moses kuna mtu mwingine alipewa amri kumi za mungu?

Which alphabet? Hakuna mtu mwingine, but Moses.

Which alphabet!? Now I know your problem!

Amri ziliandikwa kumi mnasema ziliandikwa kwenye jiwe
na kitu kilichoandikwa kina alphabet
 
Which alphabet!? Now I know your problem!

Amri ziliandikwa kumi mnasema ziliandikwa kwenye jiwe
na kitu kilichoandikwa kina alphabet

Which problem? What kitu?

Jibu swali langu la language na alphabet, ndio utajuwa kuwa wewe ni mfuata mkumbo. lol
 
Which problem? What kitu?

Jibu swali langu la language na alphabet, ndio utajuwa kuwa wewe ni mfuata mkumbo. lol

Kiswahili

Amri alizopewa ilitumika lugha
na hio lugha ina alphabet
na mbali ya hayo amri mnasema ziliandikwa kwenye jiwe.
Kitu kinachoandikwa kina alphabet.
Ingekua matamshi ungepata pakukimbilia kwani hakuna aliyethibitisha
Huna alphabet sahihi mpaka sasa uliyojibu.
Nimekuambia kama ni HEBREW uliyojaribu wakati wa uhai wa Moses ilikua haina alphabet
Sasa kama utaamini kwamba wakati wa uhai wa Moses kulikua na Hebrew alphabet basi kazi ipo.

Kuhusu uhai wa Moses
Wewe si mtu wa dini?
Tafuta mwenye aliishi karne gani na jibu utalipata mwenyewe.

Ukishalipata angalia historia za alphabet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…