Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Swadakta mkuu. Kilichombeba Kanumba ilikuwa ni kukosa mbadala na kutokuwepo na njia za kumlinganisha. Ni kama vile mtu uwe unamiliki shati moja tu, utake usitake ni lazima ulipende. Ila pale utakapopata lingine hilo moja utaliona la zamani.Hakuna Tasnia iliokosa mtu, sema utandawazi umebadilisha mambo, hata huko majuu hakuna movie zina kiki kama kipindi cha kina Rambo na Jack chain,
Now kila mtu ni celebrate kila mtu ni actor na comedian, hata angekuepo angepotea vile vile.
Leo hii sababu ya utandawazi na uwepo wa mbadala hata huyo Kanumba angeonekana kituko tu. Mfano mzuri leo hii ukiangalia movie za Kanumba aibu unaona wewe mtazamaji. Kwa kifupi hakuwa na ubora wowote bali alikuwa na fursa ya kuonekana pasi na kuwa na ushindani.