Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Natafuta kampuni inayo deal na kusafirisha mazao, kuna deal ya kusafirisha mahindi kwenda Zambia.
Ni deal endelevu ila kwa kuanzia, buyer anahitaji tani 30,000 za mahindi.
Buyer yupo Tanzania tayari, so inatakiwa kampuni ambayo ina operate tayari, yenye stock za Mahindi ambayo yamepigwa dawa.
Buyer yupo tayari kutembelea ofisi ya kampuni, then kwenda kuona stock ya mahindi, baadaye utaandaliwa Mkataba na kuwa signed.
Buyer atalipa 50% then the rest italipwa mzigo ukifika.
Kwa mawasiliano: 0688353255
NB: Biashara inatakiwa kufanyika /kuanza haraka
Ni deal endelevu ila kwa kuanzia, buyer anahitaji tani 30,000 za mahindi.
Buyer yupo Tanzania tayari, so inatakiwa kampuni ambayo ina operate tayari, yenye stock za Mahindi ambayo yamepigwa dawa.
Buyer yupo tayari kutembelea ofisi ya kampuni, then kwenda kuona stock ya mahindi, baadaye utaandaliwa Mkataba na kuwa signed.
Buyer atalipa 50% then the rest italipwa mzigo ukifika.
Kwa mawasiliano: 0688353255
NB: Biashara inatakiwa kufanyika /kuanza haraka