Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 583
- 590
Juzi katika kikao kimoja hoteli kubwa nchini nikakutana na mfanyabiashara mkubwa, nikamwambia mwanangu mbona hauongezi wigo wa biashara yako, akanijibu Tanzania haina biashara halali na ukafanikiwa. Doh nikastuka., tajiri akaendelea kuniambia Yeye ana duka kubwa ana mikataba na kampuni private na serikali ila ikija kwenye kulipwa ni mtafaruku.
Nikakumbuka ata mimi duka langu ka hardware nikipewa order na halmashauri sijui wizara ni kilio ulipwaji. Sasa nikashangaa hadi tajiri anapitia hiki hiki, leo nimeona kafunga duka lake (Mr Price) Hivi jamani Biashara hii nchi mnafanyaje? Kwani shida ni nini kwenye serikali na taasisi za serikali kulipa suppliers kwa muda? Ni kipindi kirefu nasikia wajenzi wanadai serikali, suppliers wanadai serikali, kwanini hamlipi kwa wakati? na nani awajibishwe kwa ulipwaji mmbovu wa serikali na taasisi zake kwa suppliers wao?
Naiona kama inatengenezea mazingira ya rushwa kwa lazima, kuna haja takukuru kuchunguza mifumo ya ulipwaji wa suppliers wa taasisi za serikali na wizara, halmashauri
Nikakumbuka ata mimi duka langu ka hardware nikipewa order na halmashauri sijui wizara ni kilio ulipwaji. Sasa nikashangaa hadi tajiri anapitia hiki hiki, leo nimeona kafunga duka lake (Mr Price) Hivi jamani Biashara hii nchi mnafanyaje? Kwani shida ni nini kwenye serikali na taasisi za serikali kulipa suppliers kwa muda? Ni kipindi kirefu nasikia wajenzi wanadai serikali, suppliers wanadai serikali, kwanini hamlipi kwa wakati? na nani awajibishwe kwa ulipwaji mmbovu wa serikali na taasisi zake kwa suppliers wao?
Naiona kama inatengenezea mazingira ya rushwa kwa lazima, kuna haja takukuru kuchunguza mifumo ya ulipwaji wa suppliers wa taasisi za serikali na wizara, halmashauri