Habari,
Kiukweli tender za Serikali ni nzuri kwa kampuni zenye mitaji ya kutosha na sio kwa kampuni ambazo mitaji yao ni midogo.
Kwenye ufanywaji wa kazi huwa wanataka kazi zao zikamilike kwa haraka, ila wao kwenye malipo ni changamoto kubwa sana.
Nawasilisha
Kiukweli tender za Serikali ni nzuri kwa kampuni zenye mitaji ya kutosha na sio kwa kampuni ambazo mitaji yao ni midogo.
Kwenye ufanywaji wa kazi huwa wanataka kazi zao zikamilike kwa haraka, ila wao kwenye malipo ni changamoto kubwa sana.
Nawasilisha