Hii kitu ilinitesa lakini ilinipa fundisho kubwa Sana wait Kama 8 weeks muone Kama ata develope interest, if not then don't force or rush her, sometimes kama alijifungua kwa shida AMA operation anaweza akawa na negative issues na sex kabisa, pengine utaitaji mtu Watatu, mtaalam Wa kuongea Naye! Mie wakati mke wangu akiwa hivi tulikuwa Norway kwa hiyo tulipata mtaalam akaonea Naye ilisaidia Sana, right now HAPPY SEX! Please don't force and god with her SLOWLY.
UOTE=zumbemkuu;3689949]habari zenyu wataalam!
naomba kujua muda muafaka wa tendo la ndoa kwa mzazi aliyejifungua!
i mean, ni mingapi ikipita tangu ajifungue anaruhusiwa...........?[/QUOTE]