Said Shabani Kondo
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 312
- 196
Yaani Mkuu umenigusa kunakoTendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Muulize Dogo Janja atakwambiaMbona akina Uwoya hawaoneshi dalili za mikosi
Hakuna Sababu ya kuwa na ukoo kama watu 1,000 hawawezi kumchangia mwenzao mtaji wa M5.
Yaani Mkuu umenigusa kunako
😂😂😂😂😂😂Nachunguzaje sasa wkt kichwa cha chini kimewaka moto?
MmmmmMuulize Dogo Janja atakwambia
Kama ni wewe ndo unaamini una akili bado hata mimi naamini kichwa chako kimejaa makamasi na nina hakika hata hujajikomboa kiuchumi na mawazo mgando ulinayo, haipo tofauti ya maneno yako niliyo kukosoa maana ni wewe umeyaweka, ninyi ni wale mnao ishi Kwa kudhani mambo ya kiroho hayapo isipokua elimu ndiyo kila kitu, maana ndicho unacho maanisha, ukidhani watu walikosa elimu na mababu walikua wavivu, mi nasema huwezi kuambiwa ukaelewa na wewe ni sehemu ya mpumbavu mwenye hasara hapa nchiniAcha kukurupuka Soma vizuri comment yangu na elewa mstari kwa mstari.
Nimezungumzia Mambo mawili ,Elimu na Biashara sema kwavile kichwa chako kimejaa mafua basi wewe umeelewa hivyo.
Ukweli Ni mchungu Koo nyingi Ni maskin Sana sabab Ni background za mababu zao .
Fuatilia Koo zenye unafuu wa maisha kwasasa Ni either mababu walisomesha watoto wao au hao mababu waliwekeza Sana kwenye ardhi na Mambo ya Biashara plus ufugaji.
Mababu wengi hasa ambao hawakua na maono ya baadae walikua wanauza Sana ardhi pengine kubadirishana hata na vinywaji km pombe au chakula.
Matatizo yote huanzia hapo .
Pengine km hujatembea sehem mbali mbali ,ukisikia ukoo wa fulan Ni maarufu na wanajulikana Sana jua mababu waliwekeza Sana kwenye hayo maeneo so hata kupeana michongo wajukuu inakua rahis Sana na kutoboa pakufikia tu.
Ingawa wapo wanaotoboa from zero to hello yaan Hana connection na mtu lakin anapambana kimungu mungu anatoboa lakin Ni wachache ukilingamishana na wale ambao wanapeana Raman za maisha .
Aaah tena!! Kama sauli vile🤣🤣
Aaah tena!! Kama sauli vile🤣🤣
Ni vile tu sina maamuzi ya nini binti yangu apende.Hahah hapa mkwe sina...ndio kwa kunisigina hivyo
Wadada ndio wanaongoza kwa kuwa zoa zoaNaona wanaongelewa wadada tu ndo wenye nuksi wakaka wao wana baraka tu😂😂
Ni vile tu sina maamuzi ya nini binti yangu apende.
Labda rubani wa sauli[emoji1787]Binti yako anajua kabisa mimi ni mtu swafiiii...kichwa imetulia kama ya rubani
Uongo ulioshibishwaWadada ndio wanaongoza kwa kuwa zoa zoa