Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #81
Hii dhana ni kweli, kuna wanawake ukiwachakata unapata hela kwenye madili mpaka unashangaa hata kama hawana sura na maumbo ya kuvutia na wengine utajuta hata kama ni warembo wenye sura nzuri na za kuvutia, wapo wenye bahati wakikuomba hela hukosi na wengine unakosa mpaka anakuacha, mambo haya yapo japo hayapewi uzito wake
Ohh Yes