Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu ,saiz mtu unakuta huna hata pakuanzia ,mtu unasoma lakin Nan wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Kwa hivyo wewe unaamini kusoma shule ni kutoboa maisha???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole Sana ndugu
 
Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.

“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na ww unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani,kwa ajili ya nini,matokeo yake ni yepi”

“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Thibitisha
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu ,saiz mtu unakuta huna hata pakuanzia ,mtu unasoma lakin Nan wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Pamoja sana kaka
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 qqmake
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu ,saiz mtu unakuta huna hata pakuanzia ,mtu unasoma lakin Nan wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Mkuu ebu punguza lawama kwa vizazi vilivyotutangua, kuna utajiri wa aina nyingi ikiwemo huo wa kurithi uliouzumgumzia sana. Lakini kumbuka si wote wanaorithishwa mali nyingi huwa wanaweza kuendeleza mali hizo au tu hata kuzilinda ziendelee kuwepo.

Tatizo la sisi vijana wengi huwa tukiona mtu kafanikiwa huwa tunafikiri ni rahisi, utajiri wa mtu una siri tofauti ambazo si kla mtu atakuambia.

Muhimu ni kupambana na kuwa na subira, Kuzaliwa masikini sio kosa, bali kufa masikini hilo ni kosa lako na sio watu wanaokuzunguka.
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu ,saiz mtu unakuta huna hata pakuanzia ,mtu unasoma lakin Nan wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .

unakuta ukoo una watu 1000 lakini hakuna mwenye uwezo wa kumboost mwenzie hata mtaji wa 5mil
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana ,Kuna Malaya wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi Malaya wa kibongo Kama akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totoz ile mbaya mbona Mali zake zipo had leo?
Mud je kwamba haolowek ?
Rickrosee msanii mmarekan amepiga had mbunye za uswaz za akina mobeto mbona anazid kutusua tu.
Hii Mimi sikubalian nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu ,Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi izo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofaut na Sasa bas ndio matokeo ya umaskin wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zaman ambazo zilikua na unafuu yaan wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawil saiz Koo zao hazina njaaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zaman Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subra .
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskin.
Narudia Tena umaskin wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu ,saiz mtu unakuta huna hata pakuanzia ,mtu unasoma lakin Nan wakukushika mkono? Nan msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nan kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saiz Ana jina au alishatengeneza jina?
Umaskin huanzia hapo Sasa kila unapogusa Ni pachungu ndipo mawazo ya kuhis una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Masikini chao urozi na uchawi ndivyo wanamiliki, watoto wao wanapigwa ndumba wakiondoka kidogo wakifika huko lazima warudi nyumbani ili wawe wanazunguka zunguka hapo nyumbani kama kuku aliyeatamia mayai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ndio maana nilishaamua kitambo, siwezi ku date Mwanamke ananuka nuka vijasho tu, hana hela, maskini maskini, HAPANA, ataniletea umaskini tu. Kwanza hivyo viarufu vibaya vibaya ndio vimebeba energy mbaya mbaya za shida shida tu, what the hell do you expect, kama sio umaskini.

Wanaume tujiwekee standards za wanawake gani tutoke nao ili tuepuke kuambukizwa umaskini na mabalaa kama hayo mwishowe tunakuwa broke.
Sasa ukiwa wewe mwanaume ndiyo unanuka vijasho jasho itakuwaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tafiti haziishi". Alisikika mjumbe mmoja jf.

-Kaveli-
 
Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.

“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”

“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Hii ni kweli kabisa
 
Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.

“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”

“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Ukweli 100%
 
Hii dhana ni kweli, kuna wanawake ukiwachakata unapata hela kwenye madili mpaka unashangaa hata kama hawana sura na maumbo ya kuvutia na wengine utajuta hata kama ni warembo wenye sura nzuri na za kuvutia, wapo wenye bahati wakikuomba hela hukosi na wengine unakosa mpaka anakuacha, mambo haya yapo japo hayapewi uzito wake
 
Hii dhana ni kweli, kuna wanawake ukiwachakata unapata hela kwenye madili mpaka unashangaa hata kama hawana sura na maumbo ya kuvutia na wengine utajuta hata kama ni warembo wenye sura nzuri na za kuvutia, wapo wenye bahati wakikuomba hela hukosi na wengine unakosa mpaka anakuacha, mambo haya yapo japo hayapewi uzito wake
😁😁😁hii kitu niliigunduaga secondari hasa kwa sie wazee wa msuli pepa kuna papuch ukitulia nazo hata pepa uingie ovyo vipi lazima utachomoka......sio lazima ufaulu sana ila unatoka na vimarks vya kukuweka safe..........kuna sehem ukipita unaandamwa na mikosi tu halafu ndo unakuta pisi kali........
 
Back
Top Bottom