Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
- #21
Uko sahihi kwenye haya mambo kuna maroho ya ajabu ajabu
Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kwenye haya mambo kuna maroho ya ajabu ajabu
Dah kama nakuona account yako TIGO PESA inavyosoma frequancy za REDIO 93.7 EFM
THANKS
[emoji1787] ndio uchunguze sasa
Umalaya huharibu akili mkuuTendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na ww unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani,kwa ajili ya nini,matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Matokeo baada ya kichwa kupoa si utayaona kama ni bahati haijifichiNachunguzaje sasa wkt kichwa cha chini kimewaka moto?
Ishu kubwa ipo kwenye kuoawengine wana utaalam wao au wataalam wao haya mambo ukifanya kwa kuiga unaweza kujuta
Nani anakuroga?Sweetheart nina kichwa resi kumbe..haha
Kweli aisee nisije kuishia pabayaAchana nae
Labda mapenzi yako ndio yameniloga.Nani anakuroga?
Mimi ndio maana nilishaamua kitambo, siwezi ku date Mwanamke ananuka nuka vijasho tu, hana hela, maskini maskini, HAPANA, ataniletea umaskini tu. Kwanza hivyo viarufu vibaya vibaya ndio vimebeba energy mbaya mbaya za shida shida tu, what the hell do you expect, kama sio umaskini.Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na ww unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani,kwa ajili ya nini,matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
Mwanaume kujiundergrade ni ujuha mkuu. Standard ziwepo kwa kweli.Mimi ndio maana nilishaamua kitambo, siwezi ku date Mwanamke ananuka nuka vijasho tu, hana hela, maskini maskini, HAPANA, ataniletea umaskini tu. Kwanza hivyo viarufu vibaya vibaya ndio vimebeba energy mbaya mbaya za shida shida tu, what the hell do you expect, kama sio umaskini.
Wanaume tujiwekee standards za wanawake gani tutoke nao ili tuepuke kuambukizwa umaskini na mabalaa kama hayo mwishowe tunakuwa broke.
you GUY daahUnaweza ukawa muaminifu kwa mwenza wako na bado moto ukawaka vile vile cha muhimu tutumie kinga maana bado nina ndoto ya kupanda Tereni ya umeme hapo mwaka 2035.
mkuu id yako yaonekana hujaimalizia co of luck of space ungeiandika kwa kidhungu ili ikamilikeMwanaume kujiundergrade ni ujuha mkuu. Standard ziwepo kwa kweli.
Mmmmmmh![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda mapenzi yako ndio yameniloga.
We dada huo mzigo wote wako au[emoji1787] ndio uchunguze sasa