Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

Inasikitisha sana...

Kujadili maswala ya Kiroho Kwa logic za kawaida za mwili na kibinadamu.

Mtapoteana sana tu.
 
Daaaaaaa ukweli huuuu
Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.

“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”

“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
 
Mimi ndio maana nilishaamua kitambo, siwezi ku date Mwanamke ananuka nuka vijasho tu, hana hela, maskini maskini, HAPANA, ataniletea umaskini tu. Kwanza hivyo viarufu vibaya vibaya ndio vimebeba energy mbaya mbaya za shida shida tu, what the hell do you expect, kama sio umaskini.

Wanaume tujiwekee standards za wanawake gani tutoke nao ili tuepuke kuambukizwa umaskini na mabalaa kama hayo mwishowe tunakuwa broke.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom