Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
Niliandika kirefu navobadilisha id lkn Melo aliikatamkuu id yako yaonekana hujaimalizia co of luck of space ungeiandika kwa kidhungu ili ikamilike
Tendo la ngono linabeba bahati,mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao hua lesi muda wote.”
kama mwanamke kalala na wanaume 100, unabeba batle za watu 100 [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni kwa mujibu wa report ya utafiti uliofanyika lini na wapi?
dah najuta sana
wengine wana utaalam wao au wataalam wao haya mambo ukifanya kwa kuiga unaweza kujuta
Umalaya huharibu akili mkuu
Mimi ndio maana nilishaamua kitambo, siwezi ku date Mwanamke ananuka nuka vijasho tu, hana hela, maskini maskini, HAPANA, ataniletea umaskini tu. Kwanza hivyo viarufu vibaya vibaya ndio vimebeba energy mbaya mbaya za shida shida tu, what the hell do you expect, kama sio umaskini.
Wanaume tujiwekee standards za wanawake gani tutoke nao ili tuepuke kuambukizwa umaskini na mabalaa kama hayo mwishowe tunakuwa broke.
Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
Nakuna wengi ukitembea nao unakua harufu ya nyapu demu yoyote akikuona anaanza kuloa chupi ukigusa tu unamfanya matusi bila tatizo lolote
Hakuna ukweli kuhusu hilo hizo ni imani tu kama zile imani tukiwa wadogo za ukikojoa kwenye vyanzo vya maji mama yako anakatika titi
Hii ni kweli kabisa
Ukweli 100%