]Kadenda[/B] haki, umelizika?
Mke wa mtu na sheria ya uchaguzi wapi na wapi? some ignorance's are genetically determined, cant be changed by learning.wameishatoa maelezo kuwa sheria haijavunjwa
sasa nyie mnataka nini? na yule mke wa watu vipi?
Kumbuka 16 June 2010, Fikiria Jana na tungoje 31 Oktoba 2010. Wahusika wakuu katika tarehe zote hizo ni wanasheria.
Tutegemee nini 31 Oktoba???????
Dalasani tumeishatoka zamani
inauma kuona mtu anaiba mke wa mtu
Pamoja na kwamba wengi wetu hatukutegemea Tendwa aamue swala la pingamizi kwa haki lakini tulitegemea atoe ufafanuzi kwa nini ameamua kutupilia mbali pingamizi la Chadema. Lakini Tendwa alijua akiigia katika ufafanuzi wanasheria wenzake watambana na ushabiki wake utawekwa juani. Mwishowe aliishia kulalama kwamba pingamizi hili limezusha chuki na mengineyo. Ni masikitiko sana kwamba wanasheria wakubwa nchini wamegeuka kuwa wasimazii wa kupotosha haki kwa malengo finyu ya kuogopa watawala. Kuanzia Rufaa ya Mgombea binafsi na sasa hili la uchaguzi. Huko Kenya ni Bwana Kivuitu ( mwanasheria) alisababisha vurugu katika uchaguzi wa 2007. Wanasheria walichachamaa kweli kweli. Wako wapi wanasheria wetu nchini?
Kama sijasahau, hii sheria ya uchaguzi ilimdhalilisha hata Kikwete mwenyewe kwa kusaini bila kujua vimeongeza vifungu vingine nje ya vilivyopitishwa na bunge!
Ni kheri huyo Tendwa angesema ameamua kutupilia mbali hilo pingamizi kwa sababu aliyesaini sheria za uchaguzi alikuwa hajui vizuri hizo sheria zitatumikaje!
Sijasema mahali popote kuwa nilitaka anifurahishe mimi, na wala sijasema amfurahishe mtu yeyote, nimesema atueleze na kutufafanualia kifungu hicho cha sheria kinasema nini maana ndio fani yake halafu atuambie ni kwa namna gani jambo alilofanya Kikwete limekivunja ama halijavunja hicho kifungu cha hiyo sheria. Hakuna nililosema zaidi ya hapo, sasa hapa ......ly! uliyosema nitakuwa mimi au ni wewe? Umepewa akili na fikra za kufikiri lakini unakimbilia kuongelea mambo bila kuangalia kwa undani nini maana yake. Ni watu ka ninyi msiotaka kufikiri ndio mnarudisha nyuma maendeleo ya hii nchi tunayoipenda. Ushauri wa bure, soma, tafakari halafu andika. Umasikini wa kufikiri ni mbaya kuliko aina yoyote ya umasikini hata kama umejaa hela za ufisadi. Ni kansa inayomaliza Taifa hili, ni kansa iliyowakamata wengi, ni kansa inayomaliza heshima ya wanasheria maana hawajielewi hata wako wapi. Ni kansa inayomfanya mru atoe majibu mepesi hata kama yanahusu jambo linalohitaji umakini wa hali ya juu. Ni kansa inayomfanya mtu aseme " amelitupilia mbali pingamizi" bila kueleza kwa kigezo na misingi ipi.
habari waungwana wa jamii topic yangu hi hii
Tendwa anajikosha kwa madudu ya kutupa pingamizi