Tendwa kazi kwako

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
248




Yule paleee!!! mtungue sasaaa...!?!?! -

Source: wavuti
 
baati mbaya anavuta manati haina jiwe, akiachilia akuna madhara.
 
Jamaa anatafuta namna ya kuzima utambi kitu ambacho ni kigumu sana - katiba yetu inakinzana upande mmoja JK si rais kwa sasa na ule wa pili JK ni rais mpaka hapo mteule atakapo apishwa! Kazi kwake bwana Tendwa! Kama aliweza kutabiri ushindi wa viti vya ubunge vya upinzani bila kufuata sheria yeyote ile, sasa hili kombora linahitaji sheria na katiba!
 
Hivi Tanzania ni lazima tupigane kama Kenya ndo katiba mpya itungwe na kupitishwa.
 
Tendwanae ana katabia fulani ka kujiamini na maconfidence alipoletewa suala la CCM akawa mdogo kama piliton.
Alitoa siku tano kulifanya ufafanuzi ivi hazijaisha izo siku kweli?
 
majibu ya pingamizi la chadema haya hapa..
 
Mbona anajishauri kutungua!!!!!
 
hana ubavu, litamlipukia mwenyewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…