Hivi huyu Tendwa bado anaangalia majira kwa kufuata Jua badala ya saa! Kwani ratiba katengeneza nani mpaka aulizwe Tendwa badala ya NEC? Jamani waandishi wa habari muwaulize wahusika katika jambo linalowahusu! Lakini JK akizidisha muda ajue ndivyo anavyodhoofisha afya yake 'kwa kasi zaidi, ari zaidi, nguvu zaidi'!