Mkuu hivi vinafanya ukiwa unashuka nafasi ya kushusha kifua iongezeke hivyo inajenga zaidi kifua kuliko atakayekua sehemu flat kabsa.asante castr ndio hiyo stendi inasaidaje?
mkuu vp hyo thread ya kutengeneza mikono nyuma mbona haipoMazoezi ya uzi uliopita, haswa haswa ya kujivuta hua yanatengeneza mkono ambapo pale mkono hua unalengwa kama secondary muscle, ndiyo maana baadhi ya watu wanaweza wakapunguza idadi ya seti katika kila zoezi la mkono.
Pia baadhi ya watu hua wanaweza kuingia gyma na kufanya zoezi la mkono tu.
Naandaa thread ya kutengeneza mkono wa nyuma (triceps).
poa mkuu nasubiri kwa hamuHahahhahaha dah hadi naona aibu kukujibu, naomba nikuahidi kua mpaka mchana kila kitu kitakua sawa.
Tengeneza Mkono wa Nyuma Gym Kwa Mazoezi Yafuatayopoa mkuu nasubiri kwa hamu
nashukuru mkuuTengeneza Mkono wa Nyuma Gym Kwa Mazoezi Yafuatayo
Au bonyeza username ya Castr nenda kwenye posts nilizozianzisha utakuta uzi unasema 'Tengeneza Mkono wa Nyuma Gym Kwa Mazoezi Yafuatayo'
Pamoja mkuu.
Hahahahaha halafu unakutana na mtu mtaani anakwambia "Wewe nini bwana mimi kuwa kama wewe wiki tu, nakufikia"Ngoma ipo kwenye 21, nikiwa gym ikifika zamu ya 21 huwa nasema "sasa linakuja zoezi lenyewe".
Ukimaliza hili zoezi mkono unausikia hasa, kila kitu kinavuta kwenye mikono.
21 nuksi.
Mkuu Binadam yao maneno bana, hawanunui kusema, wao hujisemea tu kwa hiyo ni wa kuwaangalia tu.Hahahahaha halafu unakutana na mtu mtaani anakwambia "Wewe nini bwana mimi kuwa kama wewe wiki tu, nakufikia"
mkuu hilo zoezi la barbel curl yaani 21 curl umesemema unafanya reps 10 mara tatu sasa ina maana unazihesabu zile 21 mpaka zifike kumi inakua moja na unaendelea hivyohivyo mpaka zifike tatu maana me sijaelewa hapo nielekeze naomba nashkuruPamoja mkuu.
Hapana nilikosea, ni shida ya kukopi na kupaste kitu cha juu kuja chini, samahani.mkuu hilo zoezi la barbel curl yaani 21 curl umesemema unafanya reps 10 mara tatu sasa ina maana unazihesabu zile 21 mpaka zifike kumi inakua moja na unaendelea hivyohivyo mpaka zifike tatu maana me sijaelewa hapo nielekeze naomba nashkuru
poa mkuuHapana nilikosea, ni shida ya kukopi na kupaste kitu cha juu kuja chini, samahani.
Utafanya tu hizo reps za 21 curls mara 3.
poa mkuuHapana nilikosea, ni shida ya kukopi na kupaste kitu cha juu kuja chini, samahani.
Utafanya tu hizo reps za 21 curls mara 3.
poa mkuuHapana nilikosea, ni shida ya kukopi na kupaste kitu cha juu kuja chini, samahani.
Utafanya tu hizo reps za 21 curls mara 3.