Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Tengeneza Mkono wa Mbele na Nyuma Gym Kwa Kufanya Hivi....

Castr Mkuu safi sana kwa uzi huu, mimi nilianza piga tizi ya mkono miezi miwili then nikaacha nimerudia tena mwezi huu wa nne. Triceps ni ngumu kwa upande wangu sema nakomaa hivo hivo, pia napiga chest na kukata tumbo plus zoezi la mguu. Natumai baada ya miezi kadhaa ntafika mahala. Sio kwamba nina kitambi hapana ila tu napenda kujenga mwili.
upload_2017-4-13_15-19-24.png

Breakfast ( sio mara zote dish hii)
  • Chai ya maziwa,
  • Mkate wa brown nachanganya cheese
  • Mayai 3 ya kuchemsha
  • Peanut butter
Lunch
  • Matunda, mboga za majani, kuna hii broccoli ipo safi sana
  • Nyama ya ngombe
Usiku
  • naweza kunywa maziwa mtindi kikombe nikalala ingawa ilinisumbua sana mwanzoni, nimejaribu punguza sana carbohydrates. Kunywa maji ni muhimu sana.
 

Attachments

  • upload_2017-4-13_15-16-14.png
    upload_2017-4-13_15-16-14.png
    6.6 KB · Views: 109
Castr Mkuu safi sana kwa uzi huu, mimi nilianza piga tizi ya mkono miezi miwili then nikaacha nimerudia tena mwezi huu wa nne. Triceps ni ngumu kwa upande wangu sema nakomaa hivo hivo, pia napiga chest na kukata tumbo plus zoezi la mguu. Natumai baada ya miezi kadhaa ntafika mahala. Sio kwamba nina kitambi hapana ila tu napenda kujenga mwili.
View attachment 495191
Breakfast ( sio mara zote dish hii)
  • Chai ya maziwa,
  • Mkate wa brown nachanganya cheese
  • Mayai 3 ya kuchemsha
  • Peanut butter
Lunch
  • Matunda, mboga za majani, kuna hii broccoli ipo safi sana
  • Nyama ya ngombe
Usiku
  • naweza kunywa maziwa mtindi kikombe nikalala ingawa ilinisumbua sana mwanzoni, nimejaribu punguza sana carbohydrates. Kunywa maji ni muhimu sana.
Mkuu kwenye triceps hebu jaribu kupunguza mzigo halafu piga skullcrushers nyingi. Ni dawa pia huu mtindo.

Mfano unaweza kuweka mzigo wa kilo 15 na ukawa unapiga 30 au 50 kwa raundi 4.
 
mnanitamanisha wenzangu wenye vifaa mimi napiga kilocal zaidi duu
 
mnanitamanisha wenzangu wenye vifaa mimi napiga kilocal zaidi duu
Mimi mwenyewe kwa muda wa miezi miwili nafanya mazoezi bila vifaa.

Halafu unavyosema kilocal unamaanisha gym uliyopo ina vifaa vichache au?
 
mimi sipo gym mkuu nipo home na uwanjani vifaa vyangu ni vichache
 
nondo tu ya vidole viwili,nina roller nina stendi ya push up kamba ya kuruka
 
nondo tu ya vidole viwili,nina roller nina stendi ya push up kamba ya kuruka
Kamba ya kuruka usiitumie mara kwa mara labda kama unataka kupunguza mwili au kuukata ndiyo uitumie mara kwa mara.

Push ups ni zoezi zuri sana, ukilifanya inavyotakiwa matokeo yake ni mazuri mno.

Nondo unaweza kuitumia kwa mazoezi ya kukata mkono na kukupa ukakamavu, kuna video moja naitafuta nikiipata nitaupload jinsi gani unaweza kuitumia nondo yako katika mazoezi.
 
Mkuu Castr nimeusoma Uzi wako umenifanya nirudi gym tena baada ya kuikacha kwa mwaka na nusu sasa
 
Mkuu Castr nimeusoma Uzi wako umenifanya nirudi gym tena baada ya kuikacha kwa mwaka na nusu sasa
Ebwana nashukuru nimekutia hasira hadi umeamua kurudi, usiache kutupa somo na sisi wengine.
 
haya mkuu lete video tunasubiri
Katika hiyo video nimeweza kutumia bar kwa hilo zoezi la kwanza na push ups zake.
Vingine bado najitahidi kumaster, ni workout nzuri kwa mkono na balansi
 

Attachments

Tengeneza Mkono wa Nyuma Gym Kwa Mazoezi Yafuatayo

Au bonyeza username ya Castr nenda kwenye posts nilizozianzisha utakuta uzi unasema 'Tengeneza Mkono wa Nyuma Gym Kwa Mazoezi Yafuatayo'
hivi mkuu castr kama unajenga triceps kupitia pushup je ukipiga diamond pushup na pushup fulani zimekaa kama zile za magufuli ila unapiga ziwe skullcrushes,je ukipiga zote mbili umix kachumbari
 
hivi mkuu castr kama unajenga triceps kupitia pushup je ukipiga diamond pushup na pushup fulani zimekaa kama zile za magufuli ila unapiga ziwe skullcrushes,je ukipiga zote mbili umix kachumbari
Hizo kama za Magufuli mara nyingi huwa mikono hatuitanui, inakua kama umeibana mbavuni hapo ni triceps.

Ndiyo unaweza kuchanganya na kua kama kachumbari.
 
Wakuu naomba mjue nachelewa mno kupata notification, yaani ili nione kama nina notification hua nikiwa nataka kuingia kwenye uzi wangu mwingine ndiyo naona kua kuna mtu amechangia.
Nikija kuangalia nakuta mtu aliniquote kabisa lakini sipati notification. Tutaendeleza libeneke hivi hivi mpaka JF wenyewe watakapotatua tatizo.
 
Back
Top Bottom