Mbona una fujo hivyo
Ndio unifokee
[emoji23][emoji23][emoji23] naona una fujo sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Saa nne hii wateja hamna jua kali hadi nawaza usikute hizi shida zinasababishwa na kipind nasoma sikutunga sentensi kwa usahihi kama mwalim alivyotaka
Kuna nini tena humu!
[emoji23][emoji23][emoji23] njoo nikupe dawa ya biashara utachoka wewe kuhudumia
acha masihara mkuu, tuje kweli au
Mimi sina utani mkuu
nitakutafuta