hahaha muache tu.Mfyatue ya sikio..
Nitamhudumia bure. Muache ajisogeze
Na nani?siulisema mshaachana nyie?
MAMBOMPANGO toroka 5 njoo kwetu kula tu niachiemimi 😘🤣🤣🤣 Pesanyingi ni muhimu mkuu, tutakula nini🥴?
Wapi huko? We umechanganya madesa Mkuu.namdakuzi
nimeelewa kidogo kwahiyo ulieachana nae ndio yupi?