😂😂😂😂Make kwanza mchekeTengeneza sentensi zenye maana kwa kutumia ID za member wa JF.
Mfano:
Bab fei hali mbaya huko kwenu vipi
tunda tamu ni Ni Sheeeda
Muulize 😄🤣, najua hadi ana lala saa ngapi🤣🤣🤒Woi huu ni uongi namjua
Kwa nini mkuu?
Umelipenda eehShairi zuri
Aww! Totoo, thanks much.. tunazidi kuukaribia ushangazi 🥰