The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mungu mwanga upo,mwaka unagawika Kwa Mbili..Kakamtu niko poa kabisa dadamtu😅 naamini mwaka umeanza poa!
Hivi ikigawika kwa mbili kuna matumaini sio?Nashukuru Mungu mwanga upo,mwaka unagawika Kwa Mbili..
mind ur businessNaona baadhi ya watu wanavyofikisha ujumbe na kutoa ya moyoni.
busy boy des sikupendi hatawewe kolomaji mkubwaLol! Labda wanaona nastahili. Jamani asanteni sana kwa kunitaja.
Ova
Nimesikia hayo Kwa wahenga kakamtu,Kwa hiyo na Mimi natumaini itakuwa hivyoHivi ikigawika kwa mbili kuna matumaini sio?
yaani unajianika , nimejua kazi yako , mtazamo wako kwa kusoma tu ulichoandika na avatar , siku nyingene kuwa makini
Acha kuniletea stress zako za maisha,yaani unajianika , nimejua kazi yako , mtazamo wako kwa kusoma tu ulichoandika na avatar , siku nyingene kuwa makini
Yani nakwambia acha kabisa rfk angu.Sitaki nakifo chako ni kirahisi sana ni njaa yaani huli vizuri hadi kero kula basi hata uishi na afya jamani unakumbuka ulipoenda hospitalini ukakosa choo .😋🤣🤣🤣 acha ubahili ndio maana Lovelovie akakukataa
Kwendeni huko😄🤒Yani nakwambia acha kabisa rfk angu.
Mim mtu mbahili hapana kabisa😂😂😂😂😂
Damu Ya Yesu Ina wezekanaTengeneza sentensi zenye maana kwa kutumia ID za member wa JF.
Mfano:
Bab fei hali mbaya huko kwenu vipi
tunda tamu ni Ni Sheeeda
😝niko hapa fifi moto obama alikuwa half american