Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #61
Eti washauri wanamshauri vibaya!!!Mimi nina mtazamo tofauti kidogo,,, je bora watu wakae mda mrefu ktk nafasi zao hata kama wanapwaya au waondolewe wawekwe wengine?
Jibu lazima watolewe hilo liko wazi,,, shida ipo kwenye uteuzi,, inaelekea washauri bado hawamshauri raisi vizuri,,,madam President alishawi sema siku moja kuwa yeye huletewa majina na kuambiwa fulani anafaa basi yeye huidhinisha tu,, sasa inaelekea baadae anakuja kujionea mwenyewe ha! Huyu mbona sio kama vile nilivyoambiwa?
Chamsingi sasa madam President ahakikishe kila teuzi anayoifanya awe amejiridhisha nayo vya kutosha kabla ya kuwapa dhamana
Wewe ni Makonda uliechangamkaNaam, nasema wazi kabisa.
Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.
Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.
Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?
Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.
Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.
Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?
Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.
Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.
Major fail!!!
TakatakaKijana acha kejeli 🐼
Meli inayoendeshwa ni mbovu na imetoboka, na hata Manahodha wa meli nao pia ni wabovu, kwa hiyo suala la Meli kuzama liko pale pale hata kama watabadilishwa Manahodha wa meli mara milioni moja, wala haitasaidia kitu.Naam, nasema wazi kabisa.
Hizi habari za kutengua na kuteua mara kwa mara ni danganya toto tu za kumwonyesha mtenguaji na mteuaji kuwa yupo makini na ni mchapa kazi.
Haiwezekani kukawepo na ufanisi wa kazi ikiwa kila mara unabadilisha watendaji kwa sababu zisizoeleweka.
Utateuaje watu halafu baada ya miezi michache tena unawavuruga kwa kuwatengua na kuwazungushia sehemu zingine?
Hiyo ni alama ya kutokujua unachokitaka. Ukijua unachokitaka huwezi kuwavuruga vuruga watendaji wako kwa kiasi hicho.
Mtu kukaa kwenye idara moja kwa miezi michache halafu anaondolewa na kuwekwa mwingine, na huyo mwingine naye hata hajui atakaa hapo kwa muda gani. Baada ya miezi kadhaa huyo mwingine naye anaondolewa na analetwa mwingine.
Why the revolving door? Why can’t you get it right the first time? Do you even do your due diligence before making your appointments?
Revolving door may not be your stated policy. But it damn sure is your policy.
Kuvuruga watu kwa kiasi hicho hakuna tija na wala hakuleti ufanisi wowote ule.
Major fail!!!