Federer hamwezi Nadal mchangani. Japokuwa leo amejitahidi.
haaaa haaaaaa
bubu yaani kwa kuwa jamaa black basi umesikia raaha.....
mimi namfagilia nadal tu....
hawa weusi dizaini hii
huwa wanajifanya wazungu kuliko wazungu wenyewe
Hahahahahah lazima lol! tujifagilie wenyewe 🙂 nilikosa raha baada ya Williams sisters kutolewa najua ana kazi kubwa kwenye semifinal nadhani atacheza na Djokovic lakini baada ya matokeo ya leo nadhani confidence yake itakuwa imeongezeka zaidi kwamba anaweza pia kumtoa Djokovic.
mimi kuna dogo yule black wa ufaransa ndie nilikuwa namfagilia
sijui yuko wapi siku hizi
anaitwa monfils hivi....
Ngoja tusubirie game ya kipenzi cha waingereza(Murray) huenda mtu kwao ikalipa ila daima naamini kwenye uwezo wa mtu na si kudra !!