BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
acha tu nipite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unapigana na ndugu zako kwa sababu ya dini ya kuletewa? Hawa jamaa kweli ni mwili mmoja.An unknown number of Kenyan Muslims have crossed the border to fight alongside the Shabaab.
Inawezekana wewe ni mmoja wa waandishi wa ule mtandao wa propaganda wa sabah online ili kuitetea Amerika kwa waswahili lakini hakuna kitu.Udhaifu wako na wengine ni kujawa na papara na kukosa kusoma historia na kufahamu UKWELI. Ndiposa masheikh walio na agenda tofauti kando na uislamu halisi, huweza kwa urahisi potosha na kudanganya baadhi ya waislamu aina yenu. Mwenzagu, kando na mafunzo ya Dini, tafuta kujua ukweli. Usiwe kama mbuzi katika methali fulani asiyefahamu anaongozwa kichinjioni. Historia ya marekani na kujengwa kwa misingi yake sote tunafahamu. Ajabu siku hizi watu wanapindisha historia kama wanavyofanyia UKWELI kuweza kuridhisha na kutukuza doctrine na pia nafsi zao na si kwa lengo la kujielimisha na ndio hawa huanguka kwenye mitego ya kupotoshwa. KUMBUKA NI UKWELI UTAKUWEKA HURU KUTOKA UPOTOVU. " AMIN AMIN NAKWAMBIA, YULE ALIYE NA MWANAWE YUKO HURU".Misingi Marekani ya karne ya kumi na nane ilianza kwa uhuru wa kuabudu freedom of worship na civil liberties na sio REVOLUTION kama anavosema Assange lakini Kuna IMPERIAL WARS zilizotokea baina ya france na UK karne ya kumi na nane, hilo sipingi. Tena ukitarajia kama ulivonena kuwa itakuwa shida siku zote, wewe na wenzako ndio wataendelea kusaga meno na hizo religious provocations.
Kama agenda za wenzako wa jadi HOLDEN ROBERTO NA HUEY .P. NEWTON zilikuwa za haki mbona hawakufua dafu na sielewi kwa nini bado umesalia kwenye propaganda Osama hakuchinjwa na picha ziko kwenye mtandao. Huwa sipendi kutumia propaganda kupigana na propaganda, na pengine hiyo ndio tofauti kati yako na yangu. Sipendi pia kujihusisha katika papara au tu jazba tupu ingawa kuna baadhi ya watu JF wanapenda hayo. Ukitaka kunilainisha mimi, usifanye tu kwa papara, jaribu jinsi iwezekanavyo kunilainisha kwa vidokezo tena za kweli na ndio thamana yako itadhihirika. Ukijaribu kuondolea Al shabaab lawama kuwa hawana doa, inadhirisha UMOJA wako, na imani yao ndio wao wakitenda maouvu ni sawa mbele ya macho ya ulimwengu...Wanaua kwa jina la mungu!!
Mwisho nikimalizia, Assange (Austrian) ni mtumwa wa kuripoti habari ili apate marupurupu na vipaji kutoka wafidhili mbali mbali ulimwenguni, na sehemu zingine, kwa hivyo integrity ya kuripoti kwake inahujumu mkazo wa upeperushaji wa habari halisi. Habari zinazohusisha assumptions au dhana/investigative journalism hazitiliwi maanani sababu kuu ikiwa hiyo niliotaja hapo juu. Mbona anaomba asylum kila mara akishapeperusha propaganda, kama ni mtu shirika lake lina corporate values?! Kumbuka wakati huu watu wanatafuta kila njia kupata umaarufu, na namna ya kula, Assange akiwa moja wao.
Ni hayo tu.....
Inawezekana wewe ni mmoja wa waandishi wa ule mtandao wa propaganda wa sabah online ili kuitetea Amerika kwa waswahili lakini hakuna kitu.
Alshabaab nimekuambia hakuna hao watu,Somalia kuna waislamu maskini waliojaa njaa ambao ndio wanaopigana kwa taabu na mataifa makubwa duniani kote na mataifa yote ya Afrika mashariki.Hawa waliotengeneza alshabaab ndiio wanaojua uongozi wao ukoje na nani wampatie.Ikiwa hujui Alshabaab wanaua kwa jina la Mungu yupi itakuwa unajua jina la Mungu anayeuwa wasomali na wakenya kama sheikh Aboud.
Assange hayuko peke yake.Unamkumbuka mbunge wa Uiengereza David Reeds na Galloway na mwenzao aliyeuliwa kama Aboud Rogo wote wakipinga vita visivyokuwa vya haki.Desmond Tutu unamjua?.Wewe mwandishi wa sabahonline hebu niambie unamuonaje anapotaka Bush na Blair washtakiwe kwa vita ya Iraq.Kwanini Kibaki na Raila wasishtakiwe kwa kuingiza Kenya kwenye vita ya mabeberu ya kutawala waislamu na kuhodhi mali zao kama hii ya Somalia.Vita ambavyo vinapelekea watu wao kuuliwa kwa mabomu na risasi.
Picha ipi unajua ndio ya Osama aliyeuliwa na Obama?.Ni uyo wa shoto wa kulia?.Hapo walikosea mahesabu kama walivyokosea sheih Rogo wakidhani kwa kufa yeye ndio na vita itafanikiwa.
![]()
till you set foot to somalia dont give me that talk, do you know how many KDF troops were abducted in somalia before the incursion? How emboldened somali alshabaab had become to cause Mayhem in Mandera, attack GSU camps in LIBOI, attack AP positions when they feel like cause of a so tolerant Kenya. Not anymore! NEWSFLASH: Somali as a state has so much of unlicenced armour that it will take her nearly a decade to pacify her land. The very weapons that influx the Kenyanna region with illegal arms.
To serious talk, how do u dispute existence of alshabaab? You should be deployed to the frontlines just for an hour youl humble up, nowadays ladies just as gentlemen have an equal opportunity & passion for the same. U wont be different.
Aboud Rogo is on clip calling for Jihad against Kenyans, supporting alshabaab network in Kenya and somalia.....not in one, but several clips. Several agencies can corroborate this including the UN, FBI not to mention our very own NSIS. He got what he was preaching anyway, he had it coming on himself Who is OSAMA? Self proclaimed terrorist who kills a fellow man in the name of ALLAH! Aje Ami? These elements have no business being among peace loving and law abiding nationals.
Yeap mate congrats! tell them... My conclusion all the time is those that only understand the language of violence and death need to be communicated to along those lines. This chap keeps day dreaming about OSAMA being alive, yet his horrendus acts has not brought any "salvation" to the extremeist cause. Instead it has caused more suffering to humanity. and one is left wondering if this is what the Qu'Ran advocates for. Look at Afghanistan, syria, after chaos now hat next.?
And how many of them can you tell us?.I believe before you choose the right Osama corpse photo then you can't know who killed those KDF troops and the purpose of abductions.till you set foot to somalia dont give me that talk, do you know how many KDF troops were abducted in somalia before the incursion? How emboldened somali alshabaab had become to cause Mayhem in Mandera, attack GSU camps in LIBOI, attack AP positions when they feel like cause of a so tolerant Kenya. Not anymore! .
And how many of them can you tell us?.I believe before you choose the right Osama corpse photo then you can't know who killed those KDF troops and the purpose of abductions.
Those Somalis have been with us ever since why had they not killed us until America finished Iraq buiseness;i.e putting their puppets in power.
Please read this article by Onyango about Kikambala bombinghuh!!!! What has my desk got to do with Osama? Am not enlisted with the Navy seals or American intelgensia ot otherwise inclined to comment on AMERICAN OPERATIONS. Get a life!
MY CONCERN IS KENYA!
Alshabaab had terrorised residents of Garrisa, Mandera and neighbouring border towns for so long. At one point they even messed with the GSU camp in LIBOI, you can summarise what happened next. Swift mop up exercise from LIBOI To DEEP SOMALIA TERRITORY
If you are telling me its ok for an armed militia to attempt over run a recce police unit camp (means the militia were in hundreds), then u certainly are ailing from selective blindness.
The KDF personelle abducted by the said somali militant group were ambushed while on a regular border patrol mission. That was after the Kenya border was closed due to the deteriorating state of security at the said areas. Some successfully escaped the attack to give the tale of which inspired the military to adopt a security policy towards somalia, the abducted are classified as MIA.
How does a militia cross over to Mandera & Garrisa, Kenya, shoot a few businessmen, get there loot and head back to somalia while shooting in air and you still stand up for them. What kind of savage are you?
How many MSF doctors have been abducted pre ''the Kenyan invasion'', forgetting they were treating the likes of you; how many Italian nuns have fallen have fallen prey for the same while on humanitarian missions?
How long will the militia supply Kenya with an influx of unlicenced arms?
How long will we import terror cause of an insecure neighbour?
How long will Kenya have the burden of hosting Somali refugees because of their senseless clan wars?
Lastly, are you aware SHARIA LAW was being imposed by Alshabaab on Kenyans living on border regions. Kenya is a cosmopolitan state, they harrassed the innocent too, muslim and non muslim. Thats how much Alshabaab had become menacing to Kenya. You dont just close a border overnight. There must be a systematic chain of events. ROGO their field marshal/recruit facilitator in Kenya is certainly talking different now.
How long would we pay ransoms for sailors abducted, ships, goods, forgetting safeguarding our intl waters without acting which is our sole outlet route!
How long would we watch as our tourism fell to the hands of alshabaab/a mere militant?
You talk of a peaceful coexistence, certainly alshabaab knew nothing of the same!!!
Do not bother of the accumulation of facts but the reality of what is written.Please challenge what was written in the document.Would you stop ami posting if your brain has reached its EOL and do not have anything constructive to post. From your initial posts you looked realistic, but now you seem challenged. You are accumulating too many starting points and posting articles which writers heads seem to have knocked off because of too much weed smoking or crack sniffing. if you do not believe in the supernatural, too bad. The Isreali aircraft survived because of a miracle.
Hapo ndio Unaona Umuhimu wa NYERERE aliona MBALI; alifanya MENGI kuondoa Matabaka na kutaifisha SHULE za DINI ili kusomesha watoto wote...
Na Pia kuhakikisha MIJI yote inakuwa sawa sawa MOSHI na BUKOBA ilizuiwa na Nyerere kukua ili Miji Mingine Ikue...
I think you have not read the article.Let me requote the author's conclusion who is very much above your arguments.Please forward your problem statement with possible recommendations!!!
otherwise sitting down like a mad man and quoting exerpts from Onyango Oloo MOSSAD's conspiracies doesnt augur well with a sensible being. They, the excerpts, aint talking for u. Speak up, whats aggrieving you?
If you are pro-militia/pro religion radicallism or anything to those extremeties....FREE AD: Anyone like Rogo, (THIS ONE BELIEVED IN ANARCHY), watasiagwa tu hizo kikambala teachings peleka MYC, mounting intel on the same is picking pace!