Tenzi za Rohoni;Cha Kutumaini Sina, unawafaa Yanga michuano ya CAF

Acha kufananisha michezo ya Kishetani na Mambo ya Utukufu wa Mungu Mkuu.
 
Hahahhaha unaijua tenzi inayoitwa nchi nzuri yameta meta?

Hii ndio inaelezea kwa ukaribu situation ya Yanga.

Nchi nzuri yameta meta..... huonekana kule mbali....

Naye yesu hutuongoza....tukafike nasisi huko...

Si mbaliiii, karibuu...tukafike na sisi hukoo.
Your browser is not able to display this video.
 
Yanga tunakujibu kama ifuatavyoooooo


Zaburi 35:26 Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…