Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie endeleeni tu kuwapa matumaini ya uomgo wafuasi wenu. Serikali wana ushahidi wa ugaidi. Ujanjaujanja wa kiwakili hauwezi kuepusha kesi kuendelea hadi hukumu.
Bibi ushungi siyo Mtanzania ni Mzanzibar ana hasara gani mambo yakiharibika yeye anaenda zake Kitopeni kwaoNakuelewa sana mkuu. Ila kwa hii kesi wasipochukua tahadhari, wajiandae kwa kitu kizito. Mambo yameparanganyika sana. Wananchi wamehamaki, chuki ikiendelea namna hii hapatakua na utulivu.
Ni hatari snKama kungekuwa na huo ushahidi hata jana yule bwana asingediriki kufika mahakamani na kuongea yale!
Mkuu hili japo umeongea kindezi ila ujue lina ukweli sana aseeMbowe aachiliwen arudi Dubai akaendelee na biashara zake za kitajiri
Issue za katiba mpya na kuwapiganua mang'ombe yasiyoweza hata kuandamana hata kama yameingiziwa mikunyange matakoni
Upo pazuri Blaza..Basi sawa.
Sie tunywe mtori taratibu, nyama tutazikuta chini
Mdogomdogo blaza...Upo pazuri Blaza..
Nyie endeleeni tu kuwapa matumaini ya uomgo wafuasi wenu. Serikali wana ushahidi wa ugaidi. Ujanjaujanja wa kiwakili hauwezi kuepusha kesi kuendelea hadi hukumu.
Upo msemo acha inyeshe tuone panapo vuja, kwani tayari wameanza iogopa mvua🤔.Litakuwa jambo jema. wafanye haraka wasisubiri hata maamuzi ya kesi ndogo.
ibi ushungi siyo Mtanzania ni Mzanzibar ana hasara gani mambo yakiharibika yeye anaenda zake Kitopeni kwao
Inaonekana hivyo kwa serikali inayojali haki na demokrasia, lakini kwa wanaojua kupuuza, they don't care!Mgodi sawa ila itakua jambo la busara kutumia akili kuona athari iliyopo mbele yao wasipochukua hatua sahihi. Kuna madhara makubwa sana kwao na kwa serikali.
Haka katarifa kana ukakasi ........Mawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia
Hatari snExactly.
Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.[emoji23]Mawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia ...
Maneno ya mtu husema busara yake...Mbowe aachiliwen arudi Dubai akaendelee na biashara zake za kitajiri
Issue za katiba mpya na kuwapiganua mang'ombe yasiyoweza hata kuandamana hata kama yameingiziwa mikunyange matakoni
Hahahahahahaha nimecheka sana..Mdogomdogo blaza...
Hii kesi itatupa vingi...
Mathalani hivi sasa nishakuwa wakili mzuri kuliko mawakili wote wa serikali...
Nasubiria Komandoo Urio apandishwe kizimbani ili ni-graduate kabisa
Ni katetesi... mwenyewe keshasemaHaka katarifa kana ukakasi ........
Matusi ya kilejaleja Ahahahahaa... undezi wake umeuficha pale unapohisi ni ukweliMkuu hili japo umeongea kindezi ila ujue lina ukweli sana asee
Karibuni mpate Kitimoto safiSijambo kipenzi.
Nasikilizaaaa