Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa vyemaHuko unafika mbali sana, unajua asili ina namna yake ya kutoa haki. Haiwezi kupindishwa.
Kuna watu walipiga ushindi wa kishindo, asili ikaamua kuwaonyesha kwamba binadam ana ukomo wake.
Ni muda muafaka kama serikali kuunda tume huru kuchunguza mienendo ya akina Kingai na wenzake haiwezekani watengeneze kesi mbaya hivi. Sasa hivi hakuna hata mmoja anayesema walikuwa na madawa ya kulevya. Huyu Kingai nawahakikishia kabla mola ajamuita atapitia mateso makubwa na magumu sana. Fuatilia idadi kubwa ya polisi wanaume wakistaafu wanakuwa na magonjwa ya ajabu sana. Huyu Kingai namuombea mabaya kila siku yeye na uzao wake.Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Kama ni gaidi au sio gaidi mahakama itathibitsha
Tuwe watulivu tuu
Na Mungu ampe Lilian na watoto wake imani
Hiki ndicho Kikundi Cha Watu Wasiojulikana,Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Kuna aliyepoteza utulivu anayehangaika ?
Na huku EU na Western power,wanaipu mmulia serikali yao shingoni(Breathing down their necks),Mawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia Wanasheria wa Serikali walivyotoka jana wanadai kuwa iwapo uamuzi utatoka kuonesha Mtuhumiwa Ling'wenya aliteswa basi Serikali itaendelea kuumbuka.
Kutokana na hali ilivyo na kwa dalili walizoziona kwenye kesi ndogo iliyokamilika kusikilizwa jana wameshauriana wawasilishe ombi la "Nolle" ili kesi isiendelee na watafute namna ingine ya kujisafisha.
Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.
Mkuu tunaandanana kimoyomoyo.Mbowe aachiliwen arudi Dubai akaendelee na biashara zake za kitajiri
Issue za katiba mpya na kuwapiganua mang'ombe yasiyoweza hata kuandamana hata kama yameingiziwa mikunyange matakoni
Ni tamu sana hii!Mkuu tunaandanana kimoyomoyo.
Nasikia kuna mpango wa kumsafisha Hangaya kwa zile tuhuma zake na yuke Mwandishi wa BBC dhidi ya Mbowe kwa kuwatoa kafara hawa Maboya.Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Asante Ila Leo tunaenda kwa mama mbege👃😆 pale Rau madukani.Karibuni mpate Kitimoto safi
Akinyea debe mfumko wa bei utashuka Sana na thamani ya shilingi yetu itapanda mno! You don't have brain, I doubt!Haifutwi mkuu subiri Gaidi Mbowe aendelee kunyea debe!
Heshima ya jeshi imepungua na itapungua kwa vijana wanataka kujiunga,hii itapelekea wale watakaoingia kuweza kuihujumu nchiNgoja inyeshe tuone inapovuja...ndo nimejua kumbe jeshi nao ni miyeyusho sana wenzao wametekwa wameteswa lakin wamekaa kimya tu. Huyu komando mwingine wa Tabora, amefukuzwa kazi, mwaka sasa umepita hajapewa stahiki zake. Wakati ameondoka kwasababu ya ugonjwa. SHAME ON YOU!
Is there human being who do not have brain?! Are you ass?Akinyea debe mfumko wa bei utashuka Sana na thamani ya shilingi yetu itapanda mno! You don't have brain, I doubt!
Na wewe ni think tank wa JF?Heshima ya jeshi imepungua na itapungua kwa vijana wanataka kujiunga,hii itapelekea wale watakaoingia kuweza kuihujumu nchi
Do you know the meaning of the word doubt? I doubt again if you have brain in your skull! Read what you've written! You have shit in your skull instead of brain! Bloodfool!Is there human being who do not have brain?! Are you ass?
Don't argue with a fool, people might not notice the difference!!Do you know the meaning of the word doubt? I doubt again if you have brain in your skull! Read what you've written! You have shit in your skull instead of brain! Bloodfool!
Kawaida tu dogo!Hahahahahahaha nimecheka sana..
Nakuamini Blaza.
Halafu sisi tunapandishiwa tu tozo.Hii kesi yenyewe tu ilivyo ni kama uhujumu uchumi fulaniHiyo ni ndoto maana kila siku wanalipwa 120000 nje na mishahara yao mpaka kesi itakapo isha baada ya miaka 3, huo ni mgodi unaotembea mkuu
Already you're a fool before arguing! There's no difference before or after! You still be a great fool as you used to be!Don't argue with a fool, people might not notice the difference!!