Terehe 14 Disemba, 2021, DPP atawasilisha Nolle kesi ya akina Mbowe?

Terehe 14 Disemba, 2021, DPP atawasilisha Nolle kesi ya akina Mbowe?

Ni wakati wa wanajeshi wote Tanzania kujua kuwa hujafa hujaumbika, siku yoyote wanaweza fukuzwa kazi hasa pale watakapoonekana hawana faida katika nchi. Wajitizame
 
Huko unafika mbali sana, unajua asili ina namna yake ya kutoa haki. Haiwezi kupindishwa.

Kuna watu walipiga ushindi wa kishindo, asili ikaamua kuwaonyesha kwamba binadam ana ukomo wake.
Nimekuelewa vyema
 
Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Ni muda muafaka kama serikali kuunda tume huru kuchunguza mienendo ya akina Kingai na wenzake haiwezekani watengeneze kesi mbaya hivi. Sasa hivi hakuna hata mmoja anayesema walikuwa na madawa ya kulevya. Huyu Kingai nawahakikishia kabla mola ajamuita atapitia mateso makubwa na magumu sana. Fuatilia idadi kubwa ya polisi wanaume wakistaafu wanakuwa na magonjwa ya ajabu sana. Huyu Kingai namuombea mabaya kila siku yeye na uzao wake.
 
Kuna aliyepoteza utulivu anayehangaika ?
Kama ni gaidi au sio gaidi mahakama itathibitsha

Tuwe watulivu tuu


Na Mungu ampe Lilian na watoto wake imani
 
Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Hiki ndicho Kikundi Cha Watu Wasiojulikana,
 
Mawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia Wanasheria wa Serikali walivyotoka jana wanadai kuwa iwapo uamuzi utatoka kuonesha Mtuhumiwa Ling'wenya aliteswa basi Serikali itaendelea kuumbuka.

Kutokana na hali ilivyo na kwa dalili walizoziona kwenye kesi ndogo iliyokamilika kusikilizwa jana wameshauriana wawasilishe ombi la "Nolle" ili kesi isiendelee na watafute namna ingine ya kujisafisha.

Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.
Na huku EU na Western power,wanaipu mmulia serikali yao shingoni(Breathing down their necks),
Lazima Lumumba na mazombie yao mavi yatagonga chupi.
 
Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuu
Nasikia kuna mpango wa kumsafisha Hangaya kwa zile tuhuma zake na yuke Mwandishi wa BBC dhidi ya Mbowe kwa kuwatoa kafara hawa Maboya.
 
Ngoja inyeshe tuone inapovuja...ndo nimejua kumbe jeshi nao ni miyeyusho sana wenzao wametekwa wameteswa lakin wamekaa kimya tu. Huyu komando mwingine wa Tabora, amefukuzwa kazi, mwaka sasa umepita hajapewa stahiki zake. Wakati ameondoka kwasababu ya ugonjwa. SHAME ON YOU!
Heshima ya jeshi imepungua na itapungua kwa vijana wanataka kujiunga,hii itapelekea wale watakaoingia kuweza kuihujumu nchi
 
Is there human being who do not have brain?! Are you ass?
Do you know the meaning of the word doubt? I doubt again if you have brain in your skull! Read what you've written! You have shit in your skull instead of brain! Bloodfool!
 
Do you know the meaning of the word doubt? I doubt again if you have brain in your skull! Read what you've written! You have shit in your skull instead of brain! Bloodfool!
Don't argue with a fool, people might not notice the difference!!
 
Don't argue with a fool, people might not notice the difference!!
Already you're a fool before arguing! There's no difference before or after! You still be a great fool as you used to be!
 
Back
Top Bottom