Terence Crawford ameonyesha kwamba there is levels...

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Kitendo cha kuwa na dominance performance dhidi ya Unified Champion Errol Spence na kuweza kumdrop mara 3 kimethibitisha ubora wake, he is special one. Kwa sasa ameweza kujibu maswali ya doubters wote waliokuwa wanapinga yeye kuwa no1 p4p.

Je huyu Terence tuliyemuona leo angepigana na Floyd Mayweather akiwa kwenye prime yake unadhani matokeo yangekuwaje?
 
Terence ni fundi sana huyu jamaa then namkubali sana na kamwenyesha Spence kuwa ni mtoto sana kwake .
Kipigo kisicho na mbambamba.
Clear fight na ushindi usio na mashaka
 
Terence ni fundi sana huyu jamaa then namkubali sana na kamwenyesha Spence kuwa ni mtoto sana kwake .
Kipigo kisicho na mbambamba.
Clear fight na ushindi usio na mashaka
Yaani majaji leo wamekula mshahara wa buure
 
Huyu mwamba ni hatari sana, ila hii fight angeweza maliza mapema tu, nahisi kuna muda alikuwa anamuonea huruma Spence!! MASTERCLASS
jamaaa kamaliza fight kama katoka mazoezi tu, jamaa alikuwa superb

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Terence simuamini kabisa..
Nahisi Spence Ile ajali imemuacha na matatizo kidogo...

Terence anaweza kupambana na Canelo??
 
Terence simuamini kabisa..
Nahisi Spence Ile ajali imemuacha na matatizo kidogo...

Terence anaweza kupambana na Canelo??
Lakini Spence aliweza kuwapiga vizuri wakali wengine Danny Garcia na aliyekuwa champion 'Ugas' baada ya ajali, what do u think of that?
 
Lakini Spence aliweza kuwapiga vizuri wakali wengine Danny Garcia na aliyekuwa champion 'Ugas' baada ya ajali, what do u think of that?
Unajua kumbe watu wengi Sana wanasema Spencer hakuwa sawa siku ile... wengine Hadi wanahisi alikuwa drugged... anyway labda kweli Terence ni mkali hatutaki Tu kukubali...
Naisubiri Sana re match kama itakuepo... Spencer sikutegemea apigwe vile...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…