Nataka kuomba mkopo -(term loan) kwa ajili ya project yangu. Bank ipi haina longo longo? TIB , NBC, CRDB , etc Mwenye kujua /uzoefu naomba msaada tafdahali
Usitegemee kuna benki itakayokupa mkopo bila longo longo.
Bado hiyo benki haijasajiliwa hapa bongo.
Jiandae kupewa interest rate kuanzia 22%-30%.
Ndo longo longo zenyewe hizo
Acha tu kuna benk nimeenda kupewa maelezo ya mkopo wa mil. 15 kwa wafanyakazi na malipo ni miaka 5 lakii hiyo riba ni milioni 8 ebu fikiria usipokuwa makini unaweza kuingia kichwa kichwa wakikuhadaa yale makato ambayo yanakatwa kila mwezi ukaoni ni madogo lakini kumbe baada ya mkopo unakuwa umelipa kiasi kikubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.