MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
Sawa Sawa Inauzwa Makumi Mangapi Hiyo Ndinga
Hii body design, Elon alikuwa amelewa.
Hili gari mimi halijanivutia hata kidogo. BYD wana magari mazuri zaidi hata europe wanashika soko hadi EU inataka kuweka vikwazo kupunguza mauzo yao.
Mimo napenda ile truck ya ford
Tuko pamoja. Ford mnyama sanaHili gari mimi halijanivutia hata kidogo. BYD wana magari mazuri zaidi hata europe wanashika soko hadi EU inataka kuweka vikwazo kupunguza mauzo yao.
Mimo napenda ile truck ya ford
Umeandika sifa zake Kama unalo vile.
Tuko pamoja. Ford mnyama sana
Hivi hana hybrid vehicles tuzijue!?
Nimeenda kuicheki mtandao waoNi gar nzuri Japo mauzo yake yana suasua kulinganisha na projections walizokuwa wamejiwekeaView attachment 2806267
View attachment 2806268
kuona Inatosha Sana Sana$60k -70k
Nimeenda kuicheki mtandao wao
Ebhana wana kauli flani za kibabe sana
2023 FORD F-150[emoji2400] RAPTOR[emoji2400] AND RAPTOR R[emoji769]
With next-level off-road capability underfoot, you can drive deeper into the desert or into the thick of things where the most rugged terrains aren’t considered obstacles — but play things. *
Nimewakubali sana ngoja zikitutembelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii body design, Elon alikuwa amelewa.
kuona Inatosha Sana Sana
Atakuwa alidizainiwa na Kanye WestHii body design, Elon alikuwa amelewa.
Range ya hii saibatraki ni Km ngapi kwa full chaji? Maana kwenda offroad na hilo likasha la umeme ni hatari.