TESLA Cybertruck

Wabongo kwa unafiki hatujambo.Gari ya Masoud Kipanya tulijikita kuzodoa muonekano wake zaidi ya mengine.

Ila hii itapewa sifa kedekede na muonekano utaonekana kawaida tu.

Waliozodoa muonekano nimeona ni wachache tu tofauti na ule uzi wa gari ya Kipanya.
 

Mimi sijawahi kuzodoa gari ya masudi

Tunaogopa kununua gari ya masudi kwasababu ya safety.

Unazani ile ndege iliogunsuliwa mwanjelwa mbeya na inayotengezwa na Boeing utanunua ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…