Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hapo ni huyo mke kampa hasara tu mumewe maana atanunua tena vitu vyote vilivyovunjwa na ataajiri KK guard.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo korodani zikatwe akaangiwe alie ugali..We acha kuna mzee mmoja mstaafu mtaani na phd yake,kiinua mgongo chote kapelekwa kwa wadada wa mjini wamempukutisha,baadae karudi kwa mkewe yeye na korodani zake hana kitu.
Umbea tu..! Mwanaume mzima unahangaika na Habari za Umbea umbea
mie siku zote najua warumi ni ke 🤔🤔Na wewe uache umbeya,aliyekuambia huyo mwanaume nani?
HahaaaaaaWe acha kuna mzee mmoja mstaafu mtaani na phd yake,kiinua mgongo chote kapeleka kwa wadada wa mjini wamempukutisha,baadae karudi kwa mkewe yeye na korodani zake hana kitu.
Hahahah! we jamaa una ufala sana.Duh nawewe ni mwanaume? jiuzulu tafadhali, kabla hatujakuchukulia hatua! Pumbu zetu zikabidhi kaunta, rudi kaungane na kina Giggy
Kuna watu wana hela za michezo hapa mjini, mtu mwnye akili timamu unamnunulia gari na kumjengea singo maza tena danga[emoji23][emoji119][emoji3]
Mkuu kama hauna hela unatakiwa utulie uwe mtazamaji...Kuna watu wana hela za michezo hapa mjini, mtu mwnye akili timamu unamnunulia gari na kumjengea singo maza tena danga[emoji23][emoji119][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wana hela za michezo hapa mjini, mtu mwnye akili timamu unamnunulia gari na kumjengea singo maza tena danga[emoji23][emoji119][emoji3]
Duh!!!We acha kuna mzee mmoja mstaafu mtaani na phd yake,kiinua mgongo chote kapeleka kwa wadada wa mjini wamempukutisha,baadae karudi kwa mkewe yeye na korodani zake hana kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo korodani zikatwe akaangiwe alie ugali..
80% ya wadada ukiona yuko vzur kimtindo ujue papuch imehusika one way or watevaSijui kwanini wanawake huwa hawasemi ukweli...
Kwamba nimeanzisha biashara hii ila kiungo cha uzazi kimeinywea hasaa hasaa...
Kuliko kushinda huko IG mnashindana locations...
Tizama sasa.
Na wewe mwanaume wa ajabu, ulitaka korodani zake aziache wapi? Si lazima aende nazo.We acha kuna mzee mmoja mstaafu mtaani na phd yake,kiinua mgongo chote kapeleka kwa wadada wa mjini wamempukutisha,baadae karudi kwa mkewe yeye na korodani zake hana kitu.
Mwanaume wa ajabu yupo je?Na wewe mwanaume wa ajabu, ulitaka korodani zake aziache wapi? Si lazima aende nazo.
We acha kuna mzee mmoja mstaafu mtaani na phd yake,kiinua mgongo chote kapeleka kwa wadada wa mjini wamempukutisha,baadae karudi kwa mkewe yeye na korodani zake hana kitu.